Hakika hujui ulisemaloAcha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika hujui ulisemaloAcha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Hasara kubwa sanatumekula hasara kama nchi
Kwa hiyo wewe ilitaka ipite tu mizigo ionekane ni mingi imejaa hata kama wanakwepa kodi. Hahahaha. Ukistaajab ya Musa.. sijui utayaona na manyumbu.. huoni kama wale wakwepa kodi wameshindwa biashara wamesepa zao. Hivi unajua idadi ya wafanyabiashara waliokimbia nchi tangu Magufuli aingie. Hivi unajua idadi ya mizigo iliyotelekezwa pale bandarini ambayo ilikuja kwa uongo ili kutumia kodi chache au kukwepa kodi kabisa na imetelekezwa pale. Kamanda kajipange upya[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Mizigo bandarini kamati ya bunge yabaini kupungua kwa kas ya ajabu
Unaufikiaje hapo uchumi wa kati? Chanzo cha hayo ni nini?
Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV,wabunge wanahoji TRA wanapata wapi mapato!!
Hivi kama ni hotuba umeshawahi zisikia hotuba za Seif ? bora Magu anakoleza moto lakini Seif anakolezaga gesi. Ambayo ikilipuka utaona masizi tu.tuache kudanganya raia. Wananchi wameshazinduka hamuwaongopei tena.Hot? a za Rais MAGUFULI huko Pemba na Unguja ni umwagaji wa petroli kwenye moto unaowaka. Unakuwa mkuu wa nchi na kazi yako ni kuzunguka na kutisha raia, kuchochea na kukoleza moto, kubagua na kukamia. Huna MASULUHISHO ya matatizo ya wananchi zaidi ya vitisho.
We unasema nini. Matamshi yapo ya aina mbalimbali. Kama tuliambiwa watuhumiwa wa ufisadi ni wasafi ni mulemule tu. Nyani haoni kundule. Tupo wepesi ku critisize wengine wakati ya kwetu yanatushinda. Tumechoka !liwalo na liwe. Hatudanganyiki kwa sasa. Magufuli aongeze spidi hii haitoshi. Tuko nyuma sana kiuchumi wenzetu wametuacha mbali kule.Aisee hata hueleweki,hebu rudia kusoma ulichoandika!Ninyi ndio wale hata Rais akosee vp bado mtajazana kumtetea!Ninyi ndio wale vlaza mnaofurahishwa na kushangili! kauli zisizo na miguu wala kichwa,wenye busara tunainamisha vichwa chini kwa aibu!Ni matamko mangapi ameyatoa kwa kukurupuka mpaka sasa mkashangilia ila ilipokuja utekelezaji ikawa mtihani!
Acheni akili zenu zifanye kazi,na nawaambia kwa ukurupukaji wake na matamko,Lumumba mna kazi sana kujitoa ufahamu kuita kinyesi kuwa ni keki!
Kwa hiyo wewe ilitaka ipite tu mizigo ionekane ni mingi imejaa hata kama wanakwepa kodi. Hahahaha. Ukistaajab ya Musa.. sijui utayaona na manyumbu.. huoni kama wale wakwepa kodi wameshindwa biashara wamesepa zao. Hivi unajua idadi ya wafanyabiashara waliokimbia nchi tangu Magufuli aingie. Hivi unajua idadi ya mizigo iliyotelekezwa pale bandarini ambayo ilikuja kwa uongo ili kutumia kodi chache au kukwepa kodi kabisa na imetelekezwa pale. Kamanda kajipange upya
Mkuu ni sandakalawe ilirushwa tu, wala sio kosa letu, bali la muokotajiWatanzania tumelamba garasha
Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.
Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?
Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.
Tukiongea wapinzani hata mambo ya hatari ni safi. Lakini akionges mwingine ni balaaa. Sielewi hii aina ya siasa.Hilo huyu Mukuru anastahili kukemewa kabisa. Kama watangulizi wake wangekuwa na huruka hii siamini kama hili taifa lingekuwa na amani hii tunayojivunia
Akili yako ndio imefikia hapo kufikiri,huyo ndiye Rais na matamshi yake yana athari kwa kila mtu bila kujali itikadi yake!Hoja yako ni dhaifu,eti kisa mpinzani Fulani alikosea sehemu basi ni halali kwa Rais kwenda kinyume na sheria na katiba!Mbona mnakuwa wapuuzi kiasi hiki?JPM anamamlaka gani ya kuzuia stahiki za makamu wa Rais mstaafu????????We unasema nini. Matamshi yapo ya aina mbalimbali. Kama tuliambiwa watuhumiwa wa ufisadi ni wasafi ni mulemule tu. Nyani haoni kundule. Tupo wepesi ku critisize wengine wakati ya kwetu yanatushinda. Tumechoka !liwalo na liwe. Hatudanganyiki kwa sasa. Magufuli aongeze spidi hii haitoshi. Tuko nyuma sana kiuchumi wenzetu wametuacha mbali kule.
Huyu ni mtaka Shari, fujo, vita ndiyo maana mawazo yake yote yako Rwanda, Somalia,Libya na Iraq.
Mkuu kama ni mbuzi basi amefia kwa muuza supu, kama ni gari limeharibikia sekenke. Tuendelee kufunga mkanda tu.Hivi tunaelekea wapi...? ooh sorry tuko wapi kwanza..? saa hz saa ngapi..!!? 🙄😕🙄😵🙄😕😵
Ulijua atatoa boko!!!! Mbavu zangu!!!