hivi Zenji HAKUNAGA MKRISTU hata mmoja kwenye serikal ya mapinduzi?
Sawa
Hivi Zanzibar hamnaga Wakristo ee?
Ulambe teuzi Zanzibar unataka uzikwe mapemaSawa
Hivi Zanzibar hamnaga Wakristo ee?
Kuna naibu waziri mmoja, Annahivi Zenji HAKUNAGA MKRISTU hata mmoja kwenye serikal ya mapinduzi?
Hiyo nchi ya Zanzibar inapatikana bara gani?Yaani Zanzibar ni nchi ndogo huenda kieneo ni ndogo kuliko wilaya ya Ngorongoro lakini ina utitiri wa wizara, mawaziri na manaibu waziri.
Sijui wazanzibar tunakwama wapi?
Naona kachaguliwa mmoja leo aitwaye Anna Athanas...hivi Zenji HAKUNAGA MKRISTU hata mmoja kwenye serikal ya mapinduzi?
Hujamuona hapo Anna Athanas Paul Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto?hivi Zenji HAKUNAGA MKRISTU hata mmoja kwenye serikal ya mapinduzi?
HamnaSawa
Hivi Zanzibar hamnaga Wakristo ee?
Mmoja wapo wewe.Hivi hoja kubwa mliyoiona hapo ni dini/ukristo? Nilijua mtauliza kuhusu uwezo na uadilifu wa walioteuliwa, badala yake mmekimbilia kwenye dini/ukristo..
Hii nchi imejaa wapumbavu.