Tunataka tume hulu ya Uchagusi hizi hamlele za kuteuwana na kuzikana ni yao wasitupigie gitaa la kimbuzi,maana namna teusi sinavyofanywa zinakosa hata sehemu ya kuandikwa kwenye magaseti,aisee hivi MaCCM wanaona kujenga nchi ni kufanya teusi asubui na mchana.
Uhitaji wa uchaguzi wa haki bila ya kuonewa wala kuuliwa mtu ndio hitajio la Taifa hili. Hata mchaguliwa kwa kupitia sanduku la kura lililopitia uchaguzi ulio wazi na wa haki basi hata kutembea na utendaji wake wa kazi utakuwa na kifani na sifa kedekede,
Ila hawa waliopita kwa nguvu za polisi na jeshi ,lana ya uchaguzi itawatafuna wakiwa hai ,hata wajenge na kufanya kila kitu bure bado laana ya uchaguzi haiwezi kufutika maana hata kutubu hawajatubu na kuwaomba samahani wapiga kura kwa yaliyotokea ambayo yalifanywa na chama chao,wajitokeze hadharani na kukiri ,watubu na kutuomba wapiga kura samahani.