Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
Rais Samia ambaye yuko ziarani katika visiwa vya Pemba huko Zanzibar leo amekutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya upinzani kwa majadiliano.
Rais Samia amekutana na kuzungumza na viongozi wa Chama cha CUF, ACT-Wazalendo na ADC Kisiwani Pemba.
Wakati fulani hapa Tanzania ilishakuwa ndoto kwa Rais kukutana na viongozi wa upinzani kujadiliana na kuzungumza.
Angalau Rais Samia ameturudisha kwenye utamaduni wetu wa kupendana na kuheshimiana japo tunakinzana kwenye mitizamo na mirengo ya kisiasa
Rais Samia amekutana na kuzungumza na viongozi wa Chama cha CUF, ACT-Wazalendo na ADC Kisiwani Pemba.
Wakati fulani hapa Tanzania ilishakuwa ndoto kwa Rais kukutana na viongozi wa upinzani kujadiliana na kuzungumza.
Angalau Rais Samia ameturudisha kwenye utamaduni wetu wa kupendana na kuheshimiana japo tunakinzana kwenye mitizamo na mirengo ya kisiasa