Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Tume ya Utangazaji Zanzibar imefungia kituo cha RVS Online TV kwa kutoa habari zisizo na uwiano kwa vyama vyote vya siasa na kurusha maudhui yanayoashiria uvunjifu wa amani.
Tume ya Utangazaji imesema ilikiita kituo kiliitwa mara ya kwanza Septemba 9, 2020 ili kujibu hoja za ukiukaji wa mwongozo wa huduma za utangazaji wakati wa uchaguzi 2020.
Tume iliendelea kufuatilia kituo hiko na kubaini kuwa bado hakina uwiano na kilivunja kifungu 5(i) cha muongozo wa Huduma za Utangazaji wakati wa Uchaguzi Zanzibar na Kifungu 14(j) cha maudhui ya mtandaoni ya 2019.
Kwa mamlaka iliyopewa Tume ya Utangazaji Zanzibar imekisimamisha kituo hiko kuanzia Oktoba 21, 2020 hadi Desemba 21, 2020.
Tume ya Utangazaji imesema ilikiita kituo kiliitwa mara ya kwanza Septemba 9, 2020 ili kujibu hoja za ukiukaji wa mwongozo wa huduma za utangazaji wakati wa uchaguzi 2020.
Tume iliendelea kufuatilia kituo hiko na kubaini kuwa bado hakina uwiano na kilivunja kifungu 5(i) cha muongozo wa Huduma za Utangazaji wakati wa Uchaguzi Zanzibar na Kifungu 14(j) cha maudhui ya mtandaoni ya 2019.
Kwa mamlaka iliyopewa Tume ya Utangazaji Zanzibar imekisimamisha kituo hiko kuanzia Oktoba 21, 2020 hadi Desemba 21, 2020.