Ndege haikutolewa na CCM imetolewa na Turky kama Turky
..hivi kwanini SERIKALI haikutoa ndege yake kumsafirisha Tundu Lissu kwenda Nairobi?
..nakumbuka Dr.Omar Ali Juma alipozidiwa alisafirishwa na ndege ya serikali kwenda Afrika Kusini.
..Turky anastahili shukurani kubwa sana. Lakini hakutakiwa abebe mzigo ambao ulipaswa kubebwa na serikali.