Zanzibar: Serikali yazuia Mazao ya Ndizi kutoka nje, ndizi za Veronica Mwanjala kuharibiwa ili kuzuia Magonjwa

Zanzibar: Serikali yazuia Mazao ya Ndizi kutoka nje, ndizi za Veronica Mwanjala kuharibiwa ili kuzuia Magonjwa

Huu muungano tulipigwa, ni ile basi tu kuwa wabongo wabara hawana time kiviile.
 
Huku zanzibar mpaka
Viongozi hawautaki huu muungano lakini watanganyika wabishi sijapata kuona. Huku Zanzibar watanganyika hawana haki na ndio maana wakijichanganya kama hivi wanapigwa matukio na kuanza kulia kila simple hakuna mzanzibari anayeutaka muungano
 
Back
Top Bottom