Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Simai Mohamed Said ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo usiku.
Mhe. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, ametangaza kujiuzulu akisema ni kutokana na kile alichokiita "MAmazingira yasiyo rafiki ya kazi."
---
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.
“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni.
Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.” - sehemu ya taarifa yake ya kujiuzulu
Your browser is not able to display this video.
Siku mbili zilizopita, Januari 24 Waziri huyo mwenye dhamana ya Utalii alitangaza uhaba wa pombe katika hotel na migahawa
“masikitiko yamekuwa makubwa na imenibidi niitishe kikao kwa sababu nimeanza kunyooshewa mkono na Wadau, mimi kama Baba wa Mahoteli na Migahawa lazima nionane nao kwani Sekta ya utalii si vyema ikachezewachezewa”
“Tumeona maamuzi ya Bodi ya Vileo Zanzibar imewaondosha wale waliokua wanahusika kama ZMMI, Scoch na One Stop, nimeanza kuona athari hoteli nyingi wameanza kukosa huduma ya Vinywaji baada ya Bodi ya Vileo kufanya maamuzi hayo, niwaombe Wawekezaji waendelee kuwa Wavumilivu wakati huu ikitazamwa namna ya kutatua jambo hili”
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.
“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.” - sehemu ya taarifa yake ya kujiuzulu
SOMO KWA MAWAZIRI WA SERIKALI YA CCM BARA, ZIARA ZA PAUL MAKONDA ZINAWAUMBUA, MJIUUZULU NAFASI ZENU
Picha: Katibu uenezi Paul Makonda ktk ziara yake ndefu aelezwa pia kukumbana na udhaifu wa viongozi ktk utekelezaji wa ilani ya CCM kuanzia wizara hadi ngazi ya kijiji
Mawaziri wa CCM Bara waige huu utamaduni wa wenzao visiwani, kuwajibika bila kungangania wakisubiri kutenguliwa au kubadilishwa wizara wakati dhahiri mambo hayaendi vizuri kuleta maendeleo endelevu tarajiwa. Uongozi uwe uwezo wa kuleta mabadiliko ukishindwa au ukiona unawekewa vikwazo jiuzulu kama huyu mheshimiwa sana waziri wa utalii na mambo ya kale alivyoamua . Mhe. Simai Mohammed Said
MH SIMAI AJIUZULU UWAZIRI ZANZIBAR Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Simai Mohamed Said ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo usiku. Simai ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, ametangaza kujiuzulu akisema ni kutokana na kile alichokiita MAZINGIRA YASIYO RAFIKI YA KAZI.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.
“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.” - sehemu ya taarifa yake ya kujiuzulu
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.
“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.”
Mimi nadhani kama imani ya wazanzibar haiendani na TAMADUNI za watalii,hawataki pombe, hawataki watalii wafanye mapenzi, hawatakiw atalii wavae watakavyo basi wafunge kabisa utalii.
, NI BORA WAFUNGE KABISA SWALA LA UTALII KWA WASIO WA IMANI YAo,, waache unafki
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.
“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.”
Mimi nadhani kama imani ya wazanzibar haiendani na TAMADUNI za watalii,hawataki pombe, hawataki watalii wafanye mapenzi, hawatakiw atalii wavae watakavyo basi wafunge kabisa utalii.
, NI BORA WAFUNGE KABISA SWALA LA UTALII KWA WASIO WA IMANI YAo,, waache unafki