Zanzibar | Special Thread

Zanzibar | Special Thread

266536046_2267543846718781_5522721367283582313_n.jpg
 
Wakuu nimeona nichangie kidogo kwa vile mimi ni mzaliwa na mkaazi wa Unguja

Nimesoma coment nyingi ila nimeona baadhi ya watu hawajui Zanzibar ni muunganiko wa vusiwa viwili UNGUJA NA PEMBA

Mostly watu wa bara wanapoesama Zanzibar huwa wanakusudia Unguja sababu ndio kisiwa baba kati ya hivo viwiwili

Wakuu suala la viwanja hakuna sheria inayomkataza mtanganyika kumiliki kiwanja, mie binafsi nimeuziwa kiwanja na mtanganyika na ndio yalipo makaazi yangu mpaka muda huu naandika
Maeneo mazuri kwa kununua kiwanja kwa sasa ni KISAUNI, MAUNGANI, FUONI, MWERA, KIANGA, KIJICHI

Kiwanja cha wastan wa nymba na fensi kwa maeneo tajwa hapo ni around 8m- 20m

Mkuu mmoja amegusia kuhusu ubinafi/ubaguzi akatolea mfano kukodi chumba ngumu kama ni mtu wa bara. Mkuu hapana sio kweli, Unguja anaejenga kwa ajili ya kukodisha basi taget yake ni watu wa bara sababu waZanzibar hawana utamaduni wa kukodi na wazazi hawaruhusu watoto wao kukodi, wakati mwengine hata baada ya kuoa still atakaa nae kwakwe mpaka atakapopata makazi yake.

Gharama za maisha ni juu kidogo kulinganisha na bara sababu kubwa ni kua zanzibar hakuna kilimo
90% ya mazao(chakula) zanzibar ni import kutoka bara(mikoani) mf mchele maharage kunde mtama nk
Maji ya 1.5lt dar 500 Unguja 1000
Umeme dar ni nafuu unit kulioko Unguja hii ni kutokana na kua Unguja wananunua umeme kutoka bara, na mengineyo

Guest zipo zote Za kilocal na za VIP (kuna guest mpaka za gorofa) bei sina hakika nazo mtanisamehe bure

Mimi ni mfanya biashara mdogo sana ambae biashara yangu inatekemea pande zote mbili (bara na Zanzibar) hua nasafiri kuja dar mostly mara mbili kwa mwezi

Kama unaplan ya kutalii ZANZIBAR kua huru kuniuliza chochote

Tusipromote chuki hasa jambo ambalo unaliskia tu hujawai shuhudia.
Shukran
 
Wakuu suala la viwanja hakuna sheria inayomkataza mtanganyika kumiliki kiwanja, mie binafsi nimeuziwa kiwanja na mtanganyika na ndio yalipo makaazi yangu mpaka muda huu naandika
Maeneo mazuri kwa kununua kiwanja kwa sasa ni KISAUNI, MAUNGANI, FUONI, MWERA, KIANGA, KIJICHI
Suala la viwanja ni Jipu ndugu, sheria haziruhusu mbara amiliki, Ila ni kweli wapo wengi wananunua na wanajenga. tumezoea kuishi kimazoea, ila ni bora mtu awe makini. huko mbeleni hujui kinachoweza kutokezea.
 
Best Western Plus Zanzibar hotel is looking for an experience hotel Maintenance technician who can understand English
Send your cv/ resume to gm@bestwesternpluszanzibar.co.tz
Only potential candidates will get a response.
 
Wakuu nimeona nichangie kidogo kwa vile mimi ni mzaliwa na mkaazi wa Unguja

Nimesoma coment nyingi ila nimeona baadhi ya watu hawajui Zanzibar ni muunganiko wa vusiwa viwili UNGUJA NA PEMBA

Mostly watu wa bara wanapoesama Zanzibar huwa wanakusudia Unguja sababu ndio kisiwa baba kati ya hivo viwiwili

Wakuu suala la viwanja hakuna sheria inayomkataza mtanganyika kumiliki kiwanja, mie binafsi nimeuziwa kiwanja na mtanganyika na ndio yalipo makaazi yangu mpaka muda huu naandika
Maeneo mazuri kwa kununua kiwanja kwa sasa ni KISAUNI, MAUNGANI, FUONI, MWERA, KIANGA, KIJICHI

Kiwanja cha wastan wa nymba na fensi kwa maeneo tajwa hapo ni around 8m- 20m

Mkuu mmoja amegusia kuhusu ubinafi/ubaguzi akatolea mfano kukodi chumba ngumu kama ni mtu wa bara. Mkuu hapana sio kweli, Unguja anaejenga kwa ajili ya kukodisha basi taget yake ni watu wa bara sababu waZanzibar hawana utamaduni wa kukodi na wazazi hawaruhusu watoto wao kukodi, wakati mwengine hata baada ya kuoa still atakaa nae kwakwe mpaka atakapopata makazi yake.

Gharama za maisha ni juu kidogo kulinganisha na bara sababu kubwa ni kua zanzibar hakuna kilimo
90% ya mazao(chakula) zanzibar ni import kutoka bara(mikoani) mf mchele maharage kunde mtama nk
Maji ya 1.5lt dar 500 Unguja 1000
Umeme dar ni nafuu unit kulioko Unguja hii ni kutokana na kua Unguja wananunua umeme kutoka bara, na mengineyo

Guest zipo zote Za kilocal na za VIP (kuna guest mpaka za gorofa) bei sina hakika nazo mtanisamehe bure

Mimi ni mfanya biashara mdogo sana ambae biashara yangu inatekemea pande zote mbili (bara na Zanzibar) hua nasafiri kuja dar mostly mara mbili kwa mwezi

Kama unaplan ya kutalii ZANZIBAR kua huru kuniuliza chochote

Tusipromote chuki hasa jambo ambalo unaliskia tu hujawai shuhudia.
Shukran
Mkuu mimi natamani kujua fursa za biashara za vinyago na vyakula.
 
Mkuu nielezr kidogo kuhusu biashara ya vinyago Zanzibar. Na gharama za maisha Zanzibar..?

Biashara ya vinyago mara nyngi hua inafanyika maeneo ya Stone town na zaidi maeneo ya Mitaa ya Shangani, Ile mitaa milango ni bei mbaya sana, yani inakaribiana na Kariako. Ila wapo watu wanakomaa inaoneknwa mzunguko upo vizuri. Labda waje wanaoelewa kuhusu hayo mambo watu mawili matatu.
 
General, kuanzia mkahawa na raw foodsvitu kama mbogamboga na matunda.

Mkahawa ni biashara nzuri, Kuhusu mbogamboga na matunda sina uhakika ni bidhaa gani wanatoa kutoka bara, Ila Nahisi Nazi, Viazi, Vitunguu Maji huwa vinatoka bara
 
Back
Top Bottom