Zanzibar | Special Thread

Zanzibar | Special Thread

Mwenye connection za nyumba za kulala wageni atupe location, Kipindi hichi cha December kupata guest house Zanzibar ni shida sana kila unapikwenda kupo full.
 
Mwenye connection za nyumba za kulala wageni atupe location, Kipindi hichi cha December kupata guest house Zanzibar ni shida sana kila unapikwenda kupo full.
Maybe ucheki za mbali na town

Kizimkazi
Paje
Nungwi
Michamvi
Chwaka
Bwejuu
PwaniMchangani
Bubwini
Mkokotoni
Makunduchi

Maeneo hayo yote umbali mpaka mjini ni kama mwendo wa lisaa kwa daladala
 
Mwenye connection za nyumba za kulala wageni atupe location, Kipindi hichi cha December kupata guest house Zanzibar ni shida sana kila unapikwenda kupo full.
Njoo upange kaka,
700$ kwa mwezi..
Two bedrooms
Full furniture
WI-FI
Air condition
Parking ya kutosha
Karibu kabisa na bahari.
 
Kaka mie nataka kuja zenjii kutafuta life ,je ni vitu gani vya kuzingatia , na je hata nikijlipua Kuna maeneo ya kudozii kipiindi najipanga

Mkuu inategemea na mazingira yako, Target zako zikoje.

Na kuhusu suala la kudozi lazima uwe na connection kama ndugu jamaa au marafiki, Bila ya hivyo jiandae na hela chumba tu mfukoni.
 
266536046_2267543846718781_5522721367283582313_n.jpg
 
KITIMOTO WANAKAANGA MITAA IPI ZENJI
Kuna maeneo mawili hivi maarufu! Moja lipo katika barabara ya Chukwani ni walking distance toka kwa Jastuma.

Eneo lingine lipo Buyu, hili ni jipya na linahitaji kuwa na mwenyeji...
 
Wanzinzibar wabaguzi sana siku nikipata cheo nawaondoa wote bara nawarudisha kwao muungane gani wakati wenzetu wanajiona waarabu walimzui mwakinyo juzi asiende kupigana na sisi tumeanza kwa kuzarau na kupuuzia mashindano yao ya mapinduzi wacheze wenyewe.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Wanzinzibar wabaguzi sana siku nikipata cheo nawaondoa wote bara nawarudisha kwao muungane gani wakati wenzetu wanajiona waarabu walimzui mwakinyo juzi asiende kupigana na sisi tumeanza kwa kuzarau na kupuuzia mashindano yao ya mapinduzi wacheze wenyewe.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app

punguza chuki ndugu zitakuumiza
 
kuna yoyote anaejua sakata la Hoteli za Pilipili? nini hasa kilichotokea na nini kinachoendelea?

TODAYS Ambition plus

Kifupi kuna billionaire wa kipolish amenunua hotel ndogo ndogo nyingi..wasimamiaji wake wakampiga pesa,wafanyakazi wakawa wamefanya muda mrefu hawalipwi..zikatokea vurugu kadhaa wa kadhaa,wakugoma wakagoma...
Serikali ilimfungia nasikia soon anafungua tena.
 
Back
Top Bottom