Kutekwa ni neno lipo tangu dunia iumbwe mkuu! Inaonekana umezaliwa miaka ya 90sKuteka- Tabia ya kijinga iliyoota mizizi serikali ya awamu ya tano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutekwa ni neno lipo tangu dunia iumbwe mkuu! Inaonekana umezaliwa miaka ya 90sKuteka- Tabia ya kijinga iliyoota mizizi serikali ya awamu ya tano.
Hivi mtu akitekwa akiwa njiani pale Lugalo au monduli au Tanganyika Packers au Makutupora utauliza alifuata nini kambi ya Jeshi. Watu wenye akili za kushikiwa hawawezi fikiria nje ya box kwa sababu wako brain washed and they can never have reasonable thinking bali ushabiki unakuwa ni brain and bloodkatika miili yao.Jibu swali alifuata nini kwenye Kambi ya Jeshi?
Hakuna kitu kama hicho, ngojeni atekwe wa kwenuHuyu bwana ni katibu wa act wazalendo visiwani, sasa kutokana na wazanzibari kuwakataa ameamua kutumia njia ya kusingizia kutekwa ili apate kura za huruma
ZEC toeni adhabu kali
We boya saateni ile road ipo karibu na kambiJibu swali alifuata nini kwenye Kambi ya Jeshi?
Hyo ilikuwa zamaniiii
Swali la ajabuSasa huko kambi ya jeshi alikuwa anafanya nini?
Ndugu nikuambie kitu.Endeleeni kujiteka tu lakini tarehe 28/10/2020 mtanyooka tu.
Yaani CCM maji ya puani. Hawana alternative zaidi ya kuwa kama magaidi. Hawana tena mvuto kwa watu zaidi ya kutumia uharamia.Kama hakuja external military intervention/strong diplomacy, kuna maafa makubwa yanakuja
Lissu anashinda lkn definitely hawatamtangaza, what next then?Yaani CCM maji ya puani.. Hawana alternative zaidi ya kuwa kama magaidi. Hawana tena mvuto kwa watu zaidi ya kutumia uharamia.
Bila .... nini nyie si majasiri andikeni kusudio lenu.Bila ....... kumwagika, hakuna kitachobadilika Bara na Visiwani
Watz wakisema wanataka maendeleo yao wala sio vitu hapo utasemaje? aacha demokrasia ifuate mkondo wake hayo ndio maendeleo, maendeleo ya enzi za hitler, makaburu, Ghadafi nk watu hawataki kwahiyo usilazimishe mambo.Bila .... nini nyie si majasiri andikeni kusudio lenu.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA