Meseji za whatsap huwa hazifanani ivyo, pia mawasiliano hayo ni ya kutengeneza.
Lkn hata kama ni ivyo matendo ya vyombo vya dola ni ya kipuuzi sana, wanafanya uhalifu kwa wapinzan mda wote.
Wamewakamata viongozi wa chadema kanda ya ziwa ati wana kadi za watu za kupigia kura, ivi hili zoezi la kutafuta mawakala haliitaji kutolewa kopi ya vitambulisho vya nec vya mawakala kwa ajili ya kuambatanishwa.
Askari hawa hawalijui hili?? Mbona hata nec wenyewe hawalisemei hilo? Ayo ni maandalizi ya mbeleko kwa ccm