Zanzibar 2020 Zanzibar: Vikosi vya SMZ Vyavamia Ofisi ya Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo. Nassor Ahmed Mazrui atekwa

Mbona hao vijana sijaona fujo waliofanya? Zaidi ya kufunga maduka tena kwa amani kabisa.
 
Kwani Lugalo nje hakuna barabara ya kwenda Bagamoyo?
Si walikuwa wanamfuata kwa nyuma wakiitafuta site ya kufanya uhalifu wao!!!
Au mwenzetu umeelewa kambini ni ndani wanapotunzia silaha?
Waone hawa hapa!
 
Uongo wenu umebainika! Uongo unamwisho wake!
 
Huyu bwana ni katibu wa ACT Wazalendo visiwani, sasa kutokana na wazanzibari kuwakataa ameamua kutumia njia ya kusingizia kutekwa ili apate kura za huruma.

ZEC toeni adhabu kali
Kwa akiri yako aliyekataliwa Zanzibar ni ACT au mbogamboga? Unajitoa ufaham ee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…