Mkuu, si ulisikia Namungo hana nauli ya kuondoka Mbeya? Ilibidi Harmonize awatumie nauli 3M
Wakinyimwa watafanyaje ,wakipeleka malalamiko FIFA hawatambuliwi huko
Wanapaswa kutambua kuwa TFF inasimamia mpira wa Tanzania.. kwa maana nyingine Tanzania inapaswa kuwa na ligi moja tu.. hizo nyingine ni tamaa tu za matumbo yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar mara nyingi wamekuwa wakilalamika hawana mdhamini kwenye ligi yao hata kwenye vilabu vyao ,tatizo zanzibar hawaruhusu makampuni ya pombe na betting kudhamini
Wamuone Mh. Mwakyembe aingilie kati watapataWakinyimwa watafanyaje ,wakipeleka malalamiko FIFA hawatambuliwi huko
Zanzibar kamwe haiwezi kupewa unachama kwa kuwa kwa vigezo vya FIFA, sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania. FIFA inatambua members wa UN. Kuna exception ya United Kingdom kwa sababu za kihistoria. Hawataki tena kurudia kosa hilo.
Mgao wa hela ya FIAFA na mambo mengine inaweza kuwa ni local arrangement ndani ya TFF. Zanzibar iwe treated kama special zone na mgawo wao uwepo kikanuni.
Vinginevyo tutapiga sana kelele hadi kiama. Alipata uanachama wa CAf ukaja kufutwa na Rais wa sasa. Hiyo ingekuwa nhgao ya kuombea uanachama wa FIFA japo bado ingekuwa vigumu sana.
Issue ya UK ina sababu zake za kihistoria.acha kuropokwa ovyo mkuu, Hongkong, Nepal, Taiwan, Macau hawa je ni member wa UN? au United Kingdom?
Get your facts in order. Nepal ni UN member.acha kuropokwa ovyo mkuu, Hongkong, Nepal, Taiwan, Macau hawa je ni member wa UN? au United Kingdom?
Issue ya UK ina sababu zake za kihistoria.
Halafu Taiwan ni member wa FIFA? Hili sina uhakika nalo.
Lakini kikubwa, FIFA wana hiyo principle sasa hivi. Usipokuwa UN member forget about membership.
Finally be diplomatic in your language. Hakuna mtu anaropoka ovyo. Argue with without insulting.
Wikipedia???