Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hapo ndo utamjua Maalim Seif yupo kundi gani. Aliondoa wawakilishi wake wasigombee ili Baraza libaki na CCM peke yao wapitishe Sheria wanazozitaka na wamepitisha Sheria leo anakuja kuwadhihaki ACT wazalendo eti hajui kwanini Kuna uchaguzi wa awali wakati yeye ndio alisababisha hiyo Sheria ipitishwe bila kupingwa.Kura ya mapema ukiitafakari vema ni UIZI mtupu. Eti makundi maalum yakapige kura ya wawakilishi na Raisi wa Zanzibar Leo, kisha kesho yarudi tena yakapige za nafasi za Muungano..!!!
Afadhali wewe umewaambia ukweli chadema maana wasije sema wameibiwa kura wakati watakazopata ndo hizohizo.Hadi Sasa mnahaha amjapata tallying center za upinzani pamoja na kutapatapa mara mmkamate mazrui, mdee, Heche, esta matiko, lema mmeambulia patupu, hakuna kura mtakayoiba this time hata msaidiwe na wachina, mkichezea tu mifumo kila kitu kitaonekana...
Ulishiriki hizo kura za usiku wa manane? Mlipigia kituo gani? Mlikuwa wangapi?Ni zile walizopiga usiku wa manane leo?
Wanapiga kura tar 28 October 2020.Huku bara watumishi wa NEC wanapiga lini kura?
na wananchi wanapiga lini?Wanapiga kura tar 28 October 2020.
Wanaoelewa hiyo dhana wengi ni Saa Mbovu. Haiingii akilini wapiga Kura 500,000 tu mnatofautishe Siku za Kupiga Kura. Je wanaosimamia wapigakura 29,000,000 wa NEC pamoja na Vyombo vya wizi na uhasama watapiga Kura lini?? Au Huku bara Vyombo vya Dola na hao watumishi wa NEC hawatapiga Kura?Kura zinapigwa mara mbili kuwapa vyombo vya ulinzi na usalama nafasi ya kuhudumu vizuri siku ya kesho, sasa mnapo vuruga na siku ya leo mnaendelea kuthibitisha kuwa mnapenda vurugu na walioweka siku mbili tofauti walikuwa sahihi kabisa
Unajua kusoma?Unaelewa tofauti kati ya "walizopiga" na "tulizopiga"?Nikikuita mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?Ulishiriki hizo kura za usiku wa manane? Mlipigia kituo gani? Mlikuwa wangapi?
Vijana wa CCM walioletwa kutoka Tanganyika wameanza kupiga Kura jana usiku huku wakibebwa kwenye Magari ya PolisiMnaibiwa vipi wakati mna mawakala?
Ushahidi juu ya haya? Picha,video na hata sauti.Vijana wa CCM walioletwa kutoka Tanganyika wameanza kupiga Kura jana usiku huku wakibebwa kwenye Magari ya Polisi
Uzuri ni kwamba Zanzibar ni Visiwa na wanajuana kwa Sura na ubini Magufuli aache Wizi yeye si anasema anapendwa anamuweka ndani hata Upendo na wanamtomasatomasa
Ushahidi wa Video ulikuwa humu kwa Msaada wa wa BAKUshahidi juu ya haya? Picha,video na hata sauti.
Siasa za kihuni na propaganda ambazo hazifai.Ushahidi wa Video ulikuwa humu kwa Madawa wa BAK
Bara hakuna Vyombo cha Usalama na Ulinzi?mbona hatupigi mara mbili?Kura zinapigwa mara mbili kuwapa vyombo vya ulinzi na usalama nafasi ya kuhudumu vizuri siku ya kesho
Kura zinapigwa mara mbili kuwapa vyombo vya ulinzi na usalama nafasi ya kuhudumu vizuri siku ya kesho, sasa mnapo vuruga na siku ya leo mnaendelea kuthibitisha kuwa mnapenda vurugu na walioweka siku mbili tofauti walikuwa sahihi kabisa
Hawaruhusiwi kuwa na vyama basi.Vyombo vya Ulinzi navyo vinapiga kura [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]