Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Okey.Taifa linapaswa kupokea watalii wasio wendawazimu ili kuepukana na kadhia mbalimbali.
Ni vyema viwanja vya ndege viwe vinapima kwanza akili watalii kabla ya kuwa ruhusu kuingia nchini vichaa dunia hii wanazidi kuwa wengi.