Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu inaonekana sekta ya bandari huko Zanzibar inazidi kukua na kuonesha ubora wake duniani
Na hii ni baada ya hivi karibuni Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa kushirikiana na Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) pamoja na Ubalozi wa Ufalme wa Uholanzi nchini Tanzania wamekaribisha wajumbe, wafanyabiashara, na wawekezaji katika sekta ya bandari na usafirishaji kutoka Uholanzi.
Mkutano huo umejumuisha kampuni 20 kutoka Uholanzi ambazo zimeonyesha nia ya kuwekeza katika sekta ya bandari Zanzibar.
Soma pia: Seoul yasaini Mkataba wa Kujenga Bandari ya Uvuvi Zanzibar
Hafla hiyo imehusisha utiaji saini wa makubaliano muhimu na ziara katika bandari za Malindi na Mangapwani, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Zanzibar na Uholanzi katika sekta ya bandari
Huu mkataba wa "Ushirikiano" umekaaje? Au ndo yale yale ya DP World?
Na hii ni baada ya hivi karibuni Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa kushirikiana na Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) pamoja na Ubalozi wa Ufalme wa Uholanzi nchini Tanzania wamekaribisha wajumbe, wafanyabiashara, na wawekezaji katika sekta ya bandari na usafirishaji kutoka Uholanzi.
Mkutano huo umejumuisha kampuni 20 kutoka Uholanzi ambazo zimeonyesha nia ya kuwekeza katika sekta ya bandari Zanzibar.
Soma pia: Seoul yasaini Mkataba wa Kujenga Bandari ya Uvuvi Zanzibar
Hafla hiyo imehusisha utiaji saini wa makubaliano muhimu na ziara katika bandari za Malindi na Mangapwani, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Zanzibar na Uholanzi katika sekta ya bandari
Huu mkataba wa "Ushirikiano" umekaaje? Au ndo yale yale ya DP World?