Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

hazikutoshii
 
Mbona rahisi tu, aviondoe "VISIVYO NA MANUFAA" kwenye hotuba zake.

Hao unaowaita "wachochezi" atakuwa amewafunga mdomo.

Hata TRUMP anaongea mengi ya msingi LAKINI wapinzani wake wanachukua yale MACHACHE YASIYO YA MSINGI, na wanammaliza. Katia akili sasa hivi, nao wamenyamaza!
 
Hayo mazuri mbona wewe hujayataja, au unataka tukuandikie! Jitahidi mwenyewe utakayo yaona mazuri yaliyotajwa uwe unayaandika mapema tuyajue!
HIYO KAZI YA KUANDIKA UKO UNAMPA NANI?
 
UMETUMWA..
 
Kwani raisi akihutubia huwa anafanya hivyo mafichoni? Mbona yeye huwa anahutubia live kupitia tv na redio na wananchi wanasikia yote wala hakuna jipya. Kimsingi tumeshamzoea na huwa tunaweza kutabiri atakachozungumza.

Hata hivyo raisi anapaswa kuwa anaweka akiba ya maneno. Huyu wa kwetu hajui kabisa kuwa hatakiwi kusema kila kinachoujaza moyo wake.
 
Mwambie Pombe ndio awe anatamka mambo yenye manufaa kwa taifa na sio kupanda mbegu za chuki. Hutuba ya rais huchukuliwa jinsi ilivyo nje ya hapo utatumbuliwa. Kama ni uchochezi basi ni wa mtoa hutuba na si mnukuu hotuba.
 
Kumbuka kwa kawaida Rais hana neno lisilo na maana kila neno analo sema rais ni l
Sheria
 
Acha uzuzu mtoa mada Rais hana kauli za masihara anachoongea aliipanga kuongea.
 
Kwa akili za kinyumbunyumbu hii haiwezekani.
 
Mm nasubir avunje jengo la Tanesco pale ubungo
 
Chuki ikishakomaa hata hayo unayoita ya muhimu hutoyakumbuka ng'oo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…