Zanzibar yanunua mashine yake ya kupimia sampuli za COVID19, itapokelewa visiwani humo kesho

Zanzibar yanunua mashine yake ya kupimia sampuli za COVID19, itapokelewa visiwani humo kesho

Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.

Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.

Source: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Hii si ndo Rostam alisema atanunua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.

Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.

Source: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Nchi ya Zanzibar wanajielewa sana ukilinganisha na nchi ya Tanganyika
 
Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.

Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.

Source: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Hiyo mashine ni feki..... Itupwe baharini, tuendelee na nyungu mpaka kieleweke
 
Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.

Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.

Source: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
inaonekana maabara ya hapa kwetu ilikuwa inawawekea ngumu..bora wenzentu ZNZ walau wanajielewa kidogo
 
Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.

Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.

Source: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Huku bara kina Makonda wanapiga porojo,Zanzibar ni nchi.......naanza kuona Pinda aliteleza tu
 
Back
Top Bottom