johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Hayo ni mawazo yako bwashee!bahati mbaya sana tumebaki na mabeberu weusi ambao wataiharibu mashine kwa makusudi ili ionekane haifai, utasikia imepelekewa oil chafu na mafenesi
Mwabwabwa sasa wanazaliwa Tanganyika, Zanzibar wanakuja kufata mabwana TUUWaangalie na madangulo ya mabwabwa ...maana waitaliano wale si ndio walasambazia huko upendo.
80% ya uchumi wa Zanzibar unategemea utalii!
Hii si ndo Rostam alisema atanunua?Waziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.
Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.
Source: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Nchi ya Zanzibar wanajielewa sana ukilinganisha na nchi ya TanganyikaWaziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.
Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.
Source: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Hata mafisadi wengi ndani ya ccm ni wale wenye majina ya kikristoWaislamu hasa wazanzibar uwa wana hofu ya Mungu kiasi kuliko sisi wakristo sijuwi kwanini? ndio maana hata vifo vya corona kwao walivivujisha 32 uku bara tukikomaa na 16.
Duh!!! Kumbe
Hiyo mashine ni feki..... Itupwe baharini, tuendelee na nyungu mpaka kielewekeWaziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.
Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.
Source: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Kinachotakiwa ni hicho chombo na si vinginevyo.Wamenunua wao au wamenunuliwa na Rostam? tuwekane clear kwenye hili
inaonekana maabara ya hapa kwetu ilikuwa inawawekea ngumu..bora wenzentu ZNZ walau wanajielewa kidogoWaziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.
Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.
Source: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Walikuwa wanapimia maabara kuu ya taifa iliyopo Dar.Sasa sielewi kabisa kuhusu hizi mashine kumbe na ya ZNZ ilikuwa inazingua
Huku bara kina Makonda wanapiga porojo,Zanzibar ni nchi.......naanza kuona Pinda aliteleza tuWaziri wa afya wa Zanzibar mh Hamad Rashid amesema Zanzibar imeamua kununua mashine yake ya kupimia maambukizi ya Covid 19 ili kurahisisha upimaji na kupata vipimo kwa wakati.
Mh Hamad amesema mashine hiyo itawasili nchini Zanzibar kesho na baada ya kufungwa takwimu zitaendelea kutolewa kwa wakati bila kusitisha sitisha.
Source: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Sasa juha mimi au wewe? kitu kimenunuliwa na mtu mwengine afu unajinadi umenunua wewe?