Zanzibar yatangaza bei mpya za umeme

Zanzibar yatangaza bei mpya za umeme

mbona habari za mitaani nasikia kuwa bei imepanda?

na mtu anatumiaje unit 50 mwezi mzima? hivi hiyo ni nyumba kweli?
Umeme unit 50 ni mwingi sana aisee,imagine mimi huwasha friji masaa 12 kila siku,natumia jiko la umeme lile dogo la kichina kupasha vitu vya muda mfupi,taa za nje na ndani,tv mara nyingi iko on,kunyoosha mara moja kwa wiki,sabufa. Pamoja na matumizi hayo yote ila kwa wastani natumia unit 1.5 kwa siku ambayo kwa mwezi ni unit 45-50.Au wewe mwenzetu una ac kila chumba!!??

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Ila watanganyika tunanyanyasika sana kwa kigezo cha muungano huu muungano ni was maslahi ya watu wa Zanzibar tu,wakati wao wanashushiwa bei ya umeme huku bara tanesco wameiondoa tariff 4 ambayo ulikuwa unanunua umeme wa unit 75 kwa tsh 9500 ilimradi matumizi yako yasizidi unit 75 kwa mwezi ILA KWA SASA WAMEIFUTA HII TARIFF 4 ambayo kimsingi ilikuwa ni msaada mkubwa kwa watu wa hali ya chini.Kama kweli serikali ina huruma na wananchi wake basi niwaombe wairudishe hiyo huduma ambayo ilikuwa mkombozi kwa watu wa hali ya chini maana haiingii akilini umeme tunazalisha wenyewe ila wanaofaidika ni wazanzibari, inatia uchungu sana

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Ila watanganyika tunanyanyasika sana kwa kigezo cha muungano huu muungano ni was maslahi ya watu wa Zanzibar tu,wakati wao wanashushiwa bei ya umeme huku bara tanesco wameiondoa tariff 4 ambayo ulikuwa unanunua umeme wa unit 75 kwa tsh 9500 ilimradi matumizi yako yasizidi unit 75 kwa mwezi ILA KWA SASA WAMEIFUTA HII TARIFF 4 ambayo kimsingi ilikuwa ni msaada mkubwa kwa watu wa hali ya chini.Kama kweli serikali ina huruma na wananchi wake basi niwaombe wairudishe hiyo huduma ambayo ilikuwa mkombozi kwa watu wa hali ya chini maana haiingii akilini umeme tunazalisha wenyewe ila wanaofaidika ni wazanzibari, inatia uchungu sana

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
umeme tunazalisha wenyewe ila wanaofaidika ni wazanzibari, inatia uchungu sana
Subiri mpaka akiingia rais mwenye akili timamu ila kwa sasa utasubiri sana na hakuna rais wa hivyo akatoka kwenye Mapinduzi ya Chama
 
Umeme unit 50 ni mwingi sana aisee,imagine mimi huwasha friji masaa 12 kila siku,natumia jiko la umeme lile dogo la kichina kupasha vitu vya muda mfupi,taa za nje na ndani,tv mara nyingi iko on,kunyoosha mara moja kwa wiki,sabufa. Pamoja na matumizi hayo yote ila kwa wastani natumia unit 1.5 kwa siku ambayo kwa mwezi ni unit 45-50.Au wewe mwenzetu una ac kila chumba!!??

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app

Mkuu sikuelewi kabisa, labda sio hizi unit nilizozizoea mimi
 
Back
Top Bottom