Zanzibar yatangaza ongezeko la Wagonjwa 29 wa COVID19. Jumla ya visa visiwani humo yafikia 134 (Mei 07, 2020)

Zanzibar yatangaza ongezeko la Wagonjwa 29 wa COVID19. Jumla ya visa visiwani humo yafikia 134 (Mei 07, 2020)

Huku Bara wizara iko kimya. Wapedwa wanahabari kwa nini hamfanyi kazi yenu na kumdadisi waziri atoe tarakimu za mwisho?

Kazi hiyo mnamuachia mwandishi wa BBC aliye Dodoma? Nyinyi kazi yenu ni kuwa govt spokes persons tu? Kunukuu tu yaliyosemwa na wakuu?
 
Tuna dawa jiwe alituma ndege yake private ikafate mzigo, mbona hawapewi? Au ile ni ya watanzania bara pake yake?
 
Hivi kwanini Tanganyika tunakuwa roho mbaya namna hii?! Yaani wakati sisi tumefanikiwa kudhibiti hili gonjwa kwa 100% na hivi sasa hatuna kabisa maambukizi lakini tunashindwa kuwasaidia ndugu zetu Wazanzibar ili na wao wasiwe na maambukizi kama sisi?!

Ama kweli kikulacho kinguoni mwako!

Sema na nyinyi Wazanzibar mmezidi ubishi... yaani ubishi wa CCM na CUF mnataka kuuleta hadi kwenye serious issues!
Ndugu zenu tumewambia muanze kupiga nyungu dozi kutwa mara tatu lakini hamsikii!!

Shauri yenu, wenzenu tunapeta tu, na kwa ushenzi tu hivi sasa ile mimashine yao ya kupimia tushaisokomeza mifenesi na miparachichi... dadeki; sisi hao!! Hapana chezea vijukuu vya Kamanda Kinjekitile Ngwale wewe!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safi sana SMZ endeleeni kutoa hizi update ni muhimu sana kwa wananchi na nchi kwa ujumla ...

bara wao bado ila mtambue tu who watakuja kutoa vyeti kwa nchi zote zilizotoa ushilikiano kipindi cha janga hili na hapo ndio tutatafutana maana hakuna mtalii au msaada utaupata bila ya kuwa na certificate yao.
Hongeren sana mnaoandika mwenyewe, mnajadiliana wenyewe na namna ya kujadili, mmejificha kwenye kachumba, mnajadiliana namna ya kuhakikisha Mambo na mikakati ya Kitaifa eti isiende.

Mashetani wakubwa tayari mmeshindwa kutwa kufurahia Watu wakiongezeka kwa kuambukizwa virusi vya Corona.

Nyie hamtafautiani na watengeneza virusi vya Corona maana hamfai. Ningekuwa ni Askari ningewasaka na kuwanyonya K zenu pumbavu sana nyie mliojificha chumbani.
 
Kukosa uwazi na weledi kwenye masuala ya kitaifa kunatuweka mahali pabaya sana.

Kwenye ubao wa kimataifa sasa visa vya Corona vimeongezeka hadi 509 lakini sidhani kama hadhira ya watanzania wanajua hilo.

6AE32145-2CA8-4010-945B-6FC0A5F40690.jpeg
 
Wewe ndiyo haupo update mkuu, znz walitoa idadi yao na idadi ya watu waliopimwa, tz bara wizara ilisema hawatoi idadi kutokana na maabara ipo kwenye uchunguzi
 
ilipkuwa 487 waliopimwa walikuwa kama 660 sikun wakipima 50,000 nakuhakikishia wenye virus watakuwa 48000, acha tu wanyamaze kimya kufukiafukia hili tatizo kama mbuni anavyoficha kichwa mchangani akidhani haonekani na limwili lile
 
Back
Top Bottom