Zari afulia ,avaa BALENCIAGA FEKI Za elfu 10 ,10 Kkoo.

Zari afulia ,avaa BALENCIAGA FEKI Za elfu 10 ,10 Kkoo.

Mkuu mtoa post wewe ni ke au me?

Samahani lakini
 
Hans umekurupuka angalia hapa
Usimfananishe zari na wengineo utaumia..umesema og elfu sabini ukiconvert 78- 95usd kibongo ni bei gani vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Pia angalia viatu alivyovyaa kabla usd 950 ni sawa na sh ngapi za kitz vile?? Ni zaidi ya million mbili... So huyu dada humuwezi rudi kwa akina uwoya na wemaView attachment 928342View attachment 928343View attachment 928344
Unaelewa unachokitetea?????

Nimezungumzia Balenciaga alizozivaa kwenye picha hiyo hapo sijazungumzia viatu alivyowahi kuvivaa miaka hiyo.
 
Mleta mada amekurupuka, Zari amelipwa zaidi ya milioni 80 kwa ajili ya kutangaza na kuwa balozi wa utalii Uganda alarm avae viatu feki
Wakati analipwa hizo pesa ulikuwepo???

BTW nimezungumzia viatu alivyovivaa hapo.
 
Hans umekurupuka angalia hapa
Usimfananishe zari na wengineo utaumia..umesema og elfu sabini ukiconvert 78- 95usd kibongo ni bei gani vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Pia angalia viatu alivyovyaa kabla usd 950 ni sawa na sh ngapi za kitz vile?? Ni zaidi ya million mbili... So huyu dada humuwezi rudi kwa akina uwoya na wemaView attachment 928342View attachment 928343View attachment 928344
Mkuu wewe ni noma, huwa napenda mtu mwenye uthibitisho kama huu wako sio porojo tuu.
 
Kwahiyo na hiyo blouse na viatu alivyovaa Kim kadashian navyo utasema kafulia..?
Screenshot_20181110-184207.jpeg
 
Picha alizozivaa miaka ganj? kumbe hata hujui unafuatilia juu juu na umbea unakuja mbio.. Siku zaiidi ya tatu uliambiwa kavaa balenciga hiyo hiyo moja.
Hiyo picha ya kiatu kingine kwenye process hiyohiyo ya kutangaza utalii siku ya nyuma kabla
Na naomba unitajie vitu japo vitatu kwenye hiyo balenciaga kudihirisha ni fake..

Nasubiri jibu
Unaelewa unachokitetea?????

Nimezungumzia Balenciaga alozozivaa kwenye picha hiyo hapo sijazungumzia viatu alivyowahi kuvivaa miaka hiyo.
 
Picha alizozivaa miaka ganj? kumbe hata hujui unafuatilia juu juu na umbea unakuja mbio.. Siku zaiidi ya tatu uliambiwa kavaa balenciga hiyo hiyo moja.
Hiyo picha ya kiatu kingine kwenye process hiyohiyo ya kutangaza utalii siku ya nyuma kabla
Na naomba unitajie vitu japo vitatu kwenye hiyo balenciaga kudihirisha ni fake..

Nasubiri jibu
Hivi unajielewa kweli??????

Nimekwambia hivyo viatu mbali na hiyo Balenciaga feki alishawahi kuvivaa dhamani kabla hata Ivan hajafa ,hapo amefanya kuvirudia.

Ni sawa na wewe uvae nguo au kiatu ambacho ushawahi kuvivaa zamani.

Zari tangu aachwe na Diamond ameyumba sana kibiashara kwa sababu alikuwa anatumia sana mgongo wa diamond kujineemesha kibiashara.
 
Nioneshe hiyo picha niione
Hivi unajielewa kweli??????

Nimekwambia hivyo viatu mbali na hiyo Balenciaga feki alishawahi kuvivaa dhamani kabla hata Ivan hajafa ,hapo amefanya kuvirudia.

Ni sawa na wewe uvae nguo au kiatu ambacho ushawahi kuvivaa zamani.

Zari tangu aachwe na Diamond ameyumba sana kibiashara kwa sababu alikuwa anatumia sana mgongo wa diamond kujineemesha kibiashara.
 
Hivi unajielewa kweli??????

Nimekwambia hivyo viatu mbali na hiyo Balenciaga feki alishawahi kuvivaa dhamani kabla hata Ivan hajafa ,hapo amefanya kuvirudia.

Ni sawa na wewe uvae nguo au kiatu ambacho ushawahi kuvivaa zamani.

Zari tangu aachwe na Diamond ameyumba sana kibiashara kwa sababu alikuwa anatumia sana mgongo wa diamond kujineemesha kibiashara.
Kwa taarifa yako tangu Zari aachane na diamond amepiga madili mengi ya mkwanja mrefu
-Software diaper
-Amehost Africa change awards
-Amefanya renovation ya chuo chake branch ya medical
-alikuwa Matron wa miss Uganda 2018
- amekuwa brand ambassador wa Uganda tourism sector
-- mwenzi January Kanye West anarud anarudi Uganda yeye na Zari watafanya project ya digital transformation ya utalii wa Uganda
 
Hans nasubiri picha ya zari aliyovaa hivo viatu kabla [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unajielewa kweli??????

Nimekwambia hivyo viatu mbali na hiyo Balenciaga feki alishawahi kuvivaa dhamani kabla hata Ivan hajafa ,hapo amefanya kuvirudia.

Ni sawa na wewe uvae nguo au kiatu ambacho ushawahi kuvivaa zamani.

Zari tangu aachwe na Diamond ameyumba sana kibiashara kwa sababu alikuwa anatumia sana mgongo wa diamond kujineemesha kibiashara.
 
Ndicho kinachotokea kwa mwanaume wa leo.Kuna mengi ya kujadili kama mwanaume ila sio ufala kama wa huyu mtoa post.KWENYE NCHI YA WANAUME HUYU TUNGESHAMPIGA SHABA YA KICHWA,NA MWILI TUNGEWAPA SAMAKI WALE.
Kwa nini usimpige diamond badala ya shaba
 
Back
Top Bottom