Zari All White Party: Diamond kuzindua TV station yake mei 1 Mlimani City

Kwa kuzingatia na kupoteza muda na kufuatilia matukio ya kipuuzi kama haya....naanza kuamini kuwa watanganyika wengi wana mapungufu ya akili.....

Unasubir pambano la Ngumi kesho la kidunia na jumanne nina hakika utakuwa unasubr mech juve na madrid wakati jumatano itawasubr Fc Bayern Munich na Barcelona tena utalipia vyote hivi…!!!!

Naomba faida unayoipata hapo……!!!

Wanarefresh mind so waache wala haina haja ya kuona ni upuuzi hapo
 

Unaweza ukalipia ml 3 kutazama mpira...
 
Ebwana hii ZARI ALLWHITE PARTY umemuacha hoi. Yani Chua alikuwepo, Minja alikuwepo, Matayo alikuwe, Msele alikuwepo, Mrema alikuwepo...na wengine wengi walikuwepo (in chagaz voice).

Bila kumsahau Bob junior ambae amemfurahisha sana Plutnumz na mashabiki zake kwa hilo. Hii ikimaanisha hawana bifu tenaa. Mnyama TID mmemuona mapemaa. Ila mzee wa kufuta vumbi kiti Vp bwana......Mbona sikuoni? Why? Kwanini? Hakika unazidi kujitenga na wasanii wenzako huku Platnumz akiendelea kuwaongeza.

Msalimie na Mr. Wanjera
 
Mimi nipo Mlimani City kumejaa kama kiingilio ni sh 100/= Kuna wasanii kibao mi ninawaona na wana show love na mchizi hapa sitawataja majina mana ni wengi mno na wengi wao ni wale ambao huwa inalazimishwa kwamba wanabifu na NEMBO YA TAIFA kumbe wenyewe ni full amani
 
Hhhhhhhaaaaaaaa lazimaaa wanye chupa
 
DIAMOND has had my BLESSINGS from the 1st moment i knew of what is bestowed within HIM..

Thanx to myself i chose the perfect side.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…