Diamond tunaweza kumlaumu hasa kwenye mambo yake kula wanawake alafu aowi ila siyo hili la zari wanawake aina ya zari sitokuja kuoa kamweUshauri wa bure ndugu chawa hebu mara moja moja uwe unakubali kuwa Diamond ana mambo mengi tu ya kujinga na kipuuzi anafanya, yeye kuwa great musicians kwa ukanda huu haimfutii haya makosa.
Nimemaliza.
Zarina Hasan mkristo?
Angekuwa wanamtaka Ni wengi mbona hadi sasa hana boyfriend?labda apate wakumchezea,angekuwa mke Bora Nini kilichomfanya aachike.Wanaume wengi hatupendi wanawake dizaini ya zari.Laiti ndo ungekuwa mgawa riziki ya waume: ningekoma mimi HS.
Zari na watoto wake watano bado kuna watu wanamtaka kwa hali na mali. Relax brod
Sent using Jamii Forums mobile app
Jisemee nafsi yako; sio na wanaume wenzio. Upumzike sasaAngekuwa wanamtaka Ni wengi mbona hadi sasa hana boyfriend?labda apate wakumchezea,angekuwa mke Bora Nini kilichomfanya aachike.Wanaume wengi hatupendi wanawake dizaini ya zari.
Me nakuambia ukweli hata Kama unampenda huyo zari ukitaka kuishi vizuri na mwanaume acha kiburi,acha maneno ya shombo, usipende ligi na mwanaume kuwa humble itakusaje tofauti na hapo itakuwa wa kuzalishwa na kuachwa tu.Jisemee nafsi yako; sio na wanaume wenzio. Upumzike sasa
Hayaa nipe jina lake la Kikristo?Ili tuondoe hizi assumptions.Jina lisikupe shida Zari ni mkristo kitambo hata mama yake alizikwa ki kisrito
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una hasira?Ndyo dyadya zarinaaah mpe ukweli huyu mnafiki domokaya lol, kwake kunamshinda afu anatak kuonekan kwa wenzake mxieeeeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la kubadilisha uraia na kuwapa wa SA nampa hongera sanaYeye kataka kushindana na mwanaume wake,haiwezekani ukambadilisha uraia mtoto bila kumshirikisha mwanaume,kisa una hela alafi mwanaume akuchekee
Mbona Hamisa sasa hivi halalamiki na mtoto huwaga anampeleka kwa baba yake siku moja moja,yy mtoto kambadilisha uraia kilazima na kwa baba yao hutaki kuwa peleka.Mbona hajaumia mwaka jana alivyo kabizi pikipiki kwa bodaboda wa Tandale,kutoa matank kwa baadhi ya shule za tandale pamoja na Insurance.
Yeye tatizo anajiona ana hela,yeye kiburi kakutana na jeuri na ndio maana baadhi ya wanaume tunaogopa kuoa wanawake wenye hela.
Mwisho wa siku anawavuruga watoto wanakuwa kama digidigi manake baba Mtanzania,Mama Mganda,Watoto wana uraia wa Afrika kusini,wakati yy hajaukana uraia wa Uganda ila kwa makusudi kawapa watoto uraia wa SA.
Hiyo haitoshi unawapeleka watoto Kanisani,wakati baba yao muislam.
Yeye kataka kushindana na mwanaume wake,haiwezekani ukambadilisha uraia mtoto bila kumshirikisha mwanaume,kisa una hela alafi mwanaume akuchekee
Mbona Hamisa sasa hivi halalamiki na mtoto huwaga anampeleka kwa baba yake siku moja moja,yy mtoto kambadilisha uraia kilazima na kwa baba yao hutaki kuwa peleka.Mbona hajaumia mwaka jana alivyo kabizi pikipiki kwa bodaboda wa Tandale,kutoa matank kwa baadhi ya shule za tandale pamoja na Insurance.
Yeye tatizo anajiona ana hela,yeye kiburi kakutana na jeuri na ndio maana baadhi ya wanaume tunaogopa kuoa wanawake wenye hela.
Mwisho wa siku anawavuruga watoto wanakuwa kama digidigi manake baba Mtanzania,Mama Mganda,Watoto wana uraia wa Afrika kusini,wakati yy hajaukana uraia wa Uganda ila kwa makusudi kawapa watoto uraia wa SA.
Hiyo haitoshi unawapeleka watoto Kanisani,wakati baba yao muislam.
Kwani hizi pesa asingezitoa bila kuanika insta ??Sasa hapo anamwambia Diamond au anatoa taarifa kwa watanzania. Kama kumwambia Diamond angempigia simu tu
Si anawaleya bila msada wake ?? Na yeye mbona bado alikuwa analaumu babaake mzazi wakati nayeye ni shetani zaidi
Ninachokiona ni kwamba Zari ana muonekano mzuri ila ni jeuri ndani ya nyumba, kiburi chake huenda ndio kimemkimbiza Diamond, mwanamke hata umeremete kama dhahabu ikiwa huna adabu kwa mumeo unataka umpande kichwani hovyo hovyo, hayo ndio madhara yake, utaileza nini dunia, watoto wanauraia wa southafrica, mama raia wa uganda. Iweje atokee mtanzania mmoja aseme yeye ndo baba? Watafutie watoto baba yao wakizulu huko, acha mahoka, tulia watu walipiwe kodi wewe.
Tatizo wivu ,anatamani na yeye angefanya hivyo South Africa ama Uganda ila ndo hivyo uwezo huo hana. Kambadili tifa uraia bila Mondi kujua. Anakatalia watoto wasije kumwona baba yao.
Mondi yeye siyo mjinga kiasi hicho.
Yeye kataka kushindana na mwanaume wake,haiwezekani ukambadilisha uraia mtoto bila kumshirikisha mwanaume,kisa una hela alafi mwanaume akuchekee
Mbona Hamisa sasa hivi halalamiki na mtoto huwaga anampeleka kwa baba yake siku moja moja,yy mtoto kambadilisha uraia kilazima na kwa baba yao hutaki kuwa peleka.Mbona hajaumia mwaka jana alivyo kabizi pikipiki kwa bodaboda wa Tandale,kutoa matank kwa baadhi ya shule za tandale pamoja na Insurance.
Yeye tatizo anajiona ana hela,yeye kiburi kakutana na jeuri na ndio maana baadhi ya wanaume tunaogopa kuoa wanawake wenye hela.
Mwisho wa siku anawavuruga watoto wanakuwa kama digidigi manake baba Mtanzania,Mama Mganda,Watoto wana uraia wa Afrika kusini,wakati yy hajaukana uraia wa Uganda ila kwa makusudi kawapa watoto uraia wa SA.
Hiyo haitoshi unawapeleka watoto Kanisani,wakati baba yao muislam.
huwezi elewa na vile uko jihadi kumtetea diamond.Nimekwambia usijibu kama upo karantini. Ona ulichokifanya sasa
timu flani hata muda wa kujielimisha hawana.Mtoto under 18yrs of age anaweza kuwa na uraia pacha na anaweza kusafiria passport ya Tanzania au ya nchi nyingine.
Kama Tiffah ana uraia wa SA hakumfanyi asiwe raia wa TZ na bado anaweza kutumia passport ya TZ.
Watanganyika muwe mnajiongeza kabla ya kudandia mambo. Smdh
Kama Kuna chawa wa diamond Basi pia Kuna chawa wa zari wanaomtetea huyo motherMengine unayasema wewe pengine unayaelewa vizuri na unaweza kuyaelezea, vyuo, sijui boyfriend hayo ya kwenu. Point hapa ni kuwa Zari amemwambia Diamond charity begins at home na ujumbe umefika mahala pale naona chawa wa Diamond wote mmejitokeza mnakoishi, teh.
She ain't has that respek .Mambo ya familia ya Dai utayasikia kupitia kwa lokole na aristote ndo wasemaji wao. Pathetic
Zari si mtu wa kutumia watoto wake kupata kiki: she is too mature for that. Put some respek on her name
Sent using Jamii Forums mobile app