Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Kiba, Davido, wizkid wote wana watoto kwa wamama tofauti tofauti lakini wenzie wamekusanya watoto wao wanawalea Vizuri huoni yeyote akitukanana na baby mama wake hadharani isipokuwa huyu mtandale wetu, ukiyaambia haya machawa ya Diamond utasikia tatizo mwanamke wake kiburi! Akiwa kiburi ndio nini sasa! Si uombe legal support ili upate haki ya kuwalea watoto wako? Mbona hafanyi hivyo? Halafu bado kuna watu wanamtetea na kuwakandamiza hawa wanawake.

Baby mama wa wizkid alileta drama za kumblast Wiz kwenye media guess what... Wiz hakujibu walitafutana pembeni wakayamaliza wanalea mtoto sasa... Kama wanawake wa Diamond wanapemba drama Diamond tunamtoaje katika hili wakati ni mpenda drama maarufu na ni mara nyingi amenukuliwa akiwazungumzia vibaya baby mama wake!?
Diamond alikuwa anatuma hela za matumizi sauzi Wala hzitumiwi boss lady anasema anapesa Wala Hana shida na pesa za tandale .

Haya jamaa akaamua kutulia Sasa hii corona omelets changamoto kubwa sana huko sauzi vile vyuo vya IVAN nahisi mapato yameshuka na Hana dili za uhakika muda ndio hapo hofu inakuja anawaza afanyeje ndio Mara diamond anaonekana kwenye social media atatoa michango ya Kodi kwa watu 500 na yeye kapata pankusemea pakuoumulia

Acheni jeuri mtu wa kwanza kujenga mahusiano mazuri ya malezi anapswa kuwa zari sababu alishaharibu huko nyumo kwa kuleta jeuri maji yamemfika shingoni five kids to live the same luxury life lazima atafute pakutokea [emoji3]

Hivi si ana ana Yule boyfriend wake bilionea anamuoneshaga kofia tu Yule sijui naninai bae[emoji1787]

Mbona analia anali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan nashangaa ni wapi zari alipolilia matunzo. Watu wanabadilisha hoja wakati picha ipo clear diamond ana jimwambafy kutaka kulipia watu kodi huku hajatuma hata 10 kwa watoto wake.
Kama kiki our very own Diamond ni mwenyekiti wa watafuta kiki wote Africa mashariki na kati, well hiyo sio point.

Hamisa alienda mahakamani ndipo mtoto wake akatambuliwa na kuanza kutunzwa na kama upo fair utakumbuka walitaka kutokumtambua mtoto wa hamisa kwa sababu gani, Diamond na familia yake hawana cha kujustfy juu ya hili. Ni hamisa leo hii mnamtumia kama mfano wakati alistruggle hadi mahakamani juu ya child support! WCB acheni unafiki muambieni Diamond juu ya makosa anayoyafanya ambayo hata baba yake aliyafanya.

Zari hajalilia child support amemshade tu Diamond, am sure angelitaka angeongoza mahakani, Basi tunamchallenge Diamond amshtaki Zari kwa kumnyima access ya watoto wake, Hajali hivyo hawezi fanya hivyo, ndio kwanza anachekelea.
 
Wewe ulishawahi kutom support diamond hata kny pumba??
Wewe zari unamtetea bure sisi sio wajinga kutompa sapoti hayo malalamiko yake we siunaona uko social network wataanzania wanavyompa za uso hao kiba, Wizkid wamezaa na watu ambao si maarufu Kuna issue moja ya Alikiba aliyozaa na yule mkenya mpaka akaenda clouds akawa analalamika apewi matumizi ya mtoto na kiba mbona umeiruka.Kinachomkosti zari kuja kulalamika public wakati yeye ndio kizuizi Cha diamond kutoa huduma ndo maana anakula za uso kisawasawa na dawa ya jeuri alitegemea atapata public sympathy mambo yamemgeuka next time ajifunze ujeuri sio mzuri.
 
Kiba, Davido, wizkid wote wana watoto kwa wamama tofauti tofauti lakini wenzie wamekusanya watoto wao wanawalea Vizuri huoni yeyote akitukanana na baby mama wake hadharani isipokuwa huyu mtandale wetu, ukiyaambia haya machawa ya Diamond utasikia tatizo mwanamke wake kiburi! Akiwa kiburi ndio nini sasa! Si uombe legal support ili upate haki ya kuwalea watoto wako? Mbona hafanyi hivyo? Halafu bado kuna watu wanamtetea na kuwakandamiza hawa wanawake.

Baby mama wa wizkid alileta drama za kumblast Wiz kwenye media guess what... Wiz hakujibu walitafutana pembeni wakayamaliza wanalea mtoto sasa... Kama wanawake wa Diamond wanapemba drama Diamond tunamtoaje katika hili wakati ni mpenda drama maarufu na ni mara nyingi amenukuliwa akiwazungumzia vibaya baby mama wake!?

Aombe legal support wakati anajua watoto kawatelekeza mwenyewe? Na after ile interview ya Zari; mbona alinyamaza kimya? Dai umuongelee uongo afu akuache weeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuwa na mood ya kuandika ila imenibidi tu. Ujue unasoma some of the comments unatamani na kuangusha kilio cha kinyaki; wanaume wengi wanasikitisha sana.

Zari ana drama zake na mapungufu yake ( and no one is perfect); ila baada ya kusikiliza ile interview yake kwa Millard; nilimuheshimu mnooo. Kati ya Zari na Dai: Dai ndo anajua kujivictimise na akiongea jambo analiongea kwa msisitizo as if ni kweli. Zari amejitahidi sana kutafuta suluhu kwa ajili ya watoto wake; anajua umuhimu wa watoto kulelewa na wazazi wote wawili hata kama wazazi hawaishi pamoja. Sometimes huwa tunavumilia na ku-swallow our pride for the sake of our kids. Daimond si baba wa kulea watoto period. Otherwise tungeuona huo ubaba bora hata kwa mtoto wake mmoja; ila kwa watoto wote ni hekaheka; hadi watu washikane mashati.

Ni aibu eti mtu analalamika; Zari kaniblock insta so nashindwa kuwaona watoto wangu; hivi watoto wanalelewa insta? Lini alienda south akakataliwa kuwaona watoto? Zari explained well kwa nini alimblock, na hata mimi nimgemblock. Yet watoto wake wakubwa walikuwa wanamtafuta Dai aongee na Tee coz alikuwa anasumbua lakini wapi. Do these minions know how it feels mtoto kulia kisa anamtaka mzazi wake mwingine afu mzazi mwenyewe hana habari??? Nilichoka siku ile uncle wao kina Tee alivyomtafuta afu Dai akakimbilia kuscreenshot picha na kupost; the boy cares much about kiki pyeee. Nakusema anatuma dollar 2000 monthly kumbe aliituma hiyo ifanye na mipango ya birthday hehehee

Na mama yake naye ndo walewale; kilichomfanya aache kuwatafuta wajukuu zake ni nini?
Wanaume wajifunze kukubali kuachika once wakiachwa. Ni upuuzi kufikiri unamkomesha mzazi mwenzako ukisusa watoto wako; the kids will grow well even without you; ila fainali uzeeni. Tatizo wanaume wa kibongo anataka akihudumia watoto wake aendelee na kupata na ngono mfyuuu; uimkatalia anajifanya kususa watoto

And Zari was very right kuhama ile nyumba; mtu anaenda kusema kwenye vyombo vya habari eti "ile nyumba nikiamua kuiuza naiuza anytime"; uuze nyumba wanayokaa watoto wako wenyewe si ni utaahira huo. Kwa hili Daimond is very wrong; he needs to man up
Zari anaongea kama mama anayejua umuhimu wa kulea watoto pamoja; ona the way they co-parented with the late Ivan; mbona hakuwahi kulalamika. Wanawake; sasa hivi ukijisikia kuzaa; zaa idadi ya watoto utakaoweza kuwatunza mwenyewe basi. Nisamehe kwa gazeti ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
We unachekesha kweli...

Zari anamuita Diamond mbwa kwenye social media ambapo ana millions of followers, halafu unategemea the so called mbwa atume hela za matunzo ya watoto?, we ulishawahi kuona mbwa anatuma hela za matunzo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuwa na mood ya kuandika ila imenibidi tu. Ujue unasoma some of the comments unatamani na kuangusha kilio cha kinyaki; wanaume wengi wanasikitisha sana.

Zari ana drama zake na mapungufu yake ( and no one is perfect); ila baada ya kusikiliza ile interview yake kwa Millard; nilimuheshimu mnooo. Kati ya Zari na Dai: Dai ndo anajua kujivictimise na akiongea jambo analiongea kwa msisitizo as if ni kweli. Zari amejitahidi sana kutafuta suluhu kwa ajili ya watoto wake; anajua umuhimu wa watoto kulelewa na wazazi wote wawili hata kama wazazi hawaishi pamoja. Sometimes huwa tunavumilia na ku-swallow our pride for the sake of our kids. Daimond si baba wa kulea watoto period. Otherwise tungeuona huo ubaba bora hata kwa mtoto wake mmoja; ila kwa watoto wote ni hekaheka; hadi watu washikane mashati.

Ni aibu eti mtu analalamika; Zari kaniblock insta so nashindwa kuwaona watoto wangu; hivi watoto wanalelewa insta? Lini alienda south akakataliwa kuwaona watoto? Zari explained well kwa nini alimblock, na hata mimi nimgemblock. Yet watoto wake wakubwa walikuwa wanamtafuta Dai aongee na Tee coz alikuwa anasumbua lakini wapi. Do these minions know how it feels mtoto kulia kisa anamtaka mzazi wake mwingine afu mzazi mwenyewe hana habari??? Nilichoka siku ile uncle wao kina Tee alivyomtafuta afu Dai akakimbilia kuscreenshot picha na kupost; the boy cares much about kiki pyeee. Nakusema anatuma dollar 2000 monthly kumbe aliituma hiyo ifanye na mipango ya birthday hehehee

Na mama yake naye ndo walewale; kilichomfanya aache kuwatafuta wajukuu zake ni nini?
Wanaume wajifunze kukubali kuachika once wakiachwa. Ni upuuzi kufikiri unamkomesha mzazi mwenzako ukisusa watoto wako; the kids will grow well even without you; ila fainali uzeeni. Tatizo wanaume wa kibongo anataka akihudumia watoto wake aendelee na kupata na ngono mfyuuu; uimkatalia anajifanya kususa watoto

And Zari was very right kuhama ile nyumba; mtu anaenda kusema kwenye vyombo vya habari eti "ile nyumba nikiamua kuiuza naiuza anytime"; uuze nyumba wanayokaa watoto wako wenyewe si ni utaahira huo. Kwa hili Daimond is very wrong; he needs to man up
Zari anaongea kama mama anayejua umuhimu wa kulea watoto pamoja; ona the way they co-parented with the late Ivan; mbona hakuwahi kulalamika. Wanawake; sasa hivi ukijisikia kuzaa; zaa idadi ya watoto utakaoweza kuwatunza mwenyewe basi. Nisamehe kwa gazeti ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nakuomba kafuatilie interview aliyoifanya diamond wasafi block 89 au nenda video fupi kapost account ya carrymastory ya Instagram utaona Kati ya zari na diamond Nani Ni mjeuri? Kiufupi ile interview ya diamond ndo alimaliza kila kitu ndomaana huyo zari ukienda social network kakosa sapoti kubwa ya watu tofauti na alivyotegemea sasa hiv anakula za uso tu.
 
Diamond alikuwa anatuma hela za matumizi sauzi Wala hzitumiwi boss lady anasema anapesa Wala Hana shida na pesa za tandale .

Haya jamaa akaamua kutulia Sasa hii corona omelets changamoto kubwa sana huko sauzi vile vyuo vya IVAN nahisi mapato yameshuka na Hana dili za uhakika muda ndio hapo hofu inakuja anawaza afanyeje ndio Mara diamond anaonekana kwenye social media atatoa michango ya Kodi kwa watu 500 na yeye kapata pankusemea pakuoumulia

Acheni jeuri mtu wa kwanza kujenga mahusiano mazuri ya malezi anapswa kuwa zari sababu alishaharibu huko nyumo kwa kuleta jeuri maji yamemfika shingoni five kids to live the same luxury life lazima atafute pakutokea [emoji3]

Hivi si ana ana Yule boyfriend wake bilionea anamuoneshaga kofia tu Yule sijui naninai bae[emoji1787]

Mbona analia anali

Sent using Jamii Forums mobile app

Mengine unayasema wewe pengine unayaelewa vizuri na unaweza kuyaelezea, vyuo, sijui boyfriend hayo ya kwenu. Point hapa ni kuwa Zari amemwambia Diamond charity begins at home na ujumbe umefika mahala pale naona chawa wa Diamond wote mmejitokeza mnakoishi, teh.
 
Hiyo interview unayo ing'ang'ania mbona zari alisha ijibu. Baada ya kujibiwa mbona hakunyanyua mdomo tena. Vipi mtoto wenu wa kenya matunzo mmeshatuma au vidomo tu
Na Mimi nakuomba kafuatilie interview aliyoifanya diamond wasafi block 89 au nenda video fupi kapost account ya carrymastory ya Instagram utaona Kati ya zari na diamond Nani Ni mjeuri? Kiufupi ile interview ya diamond ndo alimaliza kila kitu ndomaana huyo zari ukienda social network kakosa sapoti kubwa ya watu tofauti na alivyotegemea sasa hiv anakula za uso tu.
 
Aombe legal support wakati anajuz watoto kawatelekeza mwenyewe? Na after ile interview ya Zari; mbona alinyamaza kimya? Dai umuongelee uongo afu akuache weeeee

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mi nimemchallenge kama anajali akaombe legal support watoto si wa kwake yeye hawataki kwani? Hehehhe [emoji23][emoji23][emoji23] mtu ambaye hataki kuelea watoto wake kwa excuses!!!!

Halafu alisema ile nyumba ningeweza kuiuza juu kwa juu wakiwemo humo, hakumbuki Mwanae alikuwa akilelewa kwa nyumba ya mwanaume mwingine hadi waliponunua nyumba yao na kwa busara tu mama hawezi acha watoto wengine huku wengine huku akaamua kuwakusanya wote sehemu moja awalee, halafu anakuja kuropoka jambo kama hili and wenzio wapo hapa kumtetea [emoji3]
 
Hiyo interview unayo ing'ang'ania mbona zari alisha ijibu. Baada ya kujibiwa mbona hakunyanyua mdomo tena. Vipi mtoto wenu wa kenya matunzo mmeshatuma au vidomo tu
Zari safari hii kaingia choo Cha kiume solution pekee aliyobakiwa nayo Ni kuongea diamond na kujua namna gani wanasaidiana tofauti na hapo public sympathy haitamsaidia na watanzania watampuuza kama wanavyofanya sasa.
 
Yan nashangaa ni wapi zari alipolilia matunzo. Watu wanabadilisha hoja wakati picha ipo clear diamond ana jimwambafy kutaka kulipia watu kodi huku hajatuma hata 10 kwa watoto wake.

Labda kama wanamatatizo ya uelewa, ukisoma yale maneno hayaoneshi kama mtu analia lia, yanaonesha mtu anayeshangaa.
 
Na Mimi nakuomba kafuatilie interview aliyoifanya diamond wasafi block 89 au nenda video fupi kapost account ya carrymastory ya Instagram utaona Kati ya zari na diamond Nani Ni mjeuri? Kiufupi ile interview ya diamond ndo alimaliza kila kitu ndomaana huyo zari ukienda social network kakosa sapoti kubwa ya watu tofauti na alivyotegemea sasa hiv anakula za uso tu.
Ya block 89 niliisikiliza; ila Zari alipokuja kuongea, mtu yeyote mwenye akili timamu atajua nani anasema ukweli. Afu baada ya interview ya Zari mbona Dai hakujitokeza kupinga? I won't trust a man who denied his own blood publicly. Kwa uongo tu yupo vizuri Father Abraham.

Btw wote ni wajeuri; ila Dai ni mjinga pia.
 
We unachekesha kweli...

Zari anamuita Diamond mbwa kwenye social media ambapo ana millions of followers, halafu unategemea the so called mbwa atume hela za matunzo ya watoto?, we ulishawahi kuona mbwa anatuma hela za matunzo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo Diamond ni mbwa asiyeweza kutuma hela ya matunzo? [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom