Mmmh hii kweli whtsp ya chibu au watu wametengenezwUsiwasingizie hawa kubali dai amemchoka au uswahili mwingi ukiangalia alichoandika kwenye status yake ya cm. Okay let's take it kwamba wameweka dai kama anampenda kwadhati si angezificha hizo hereni au kumwambia naona Ezma wamenifanyia. Status " mwenye hereni unaitwa huko "profile inapicha ya Mobeto
Jamani uko nchi gani. Dada wawatu kashavunja team let her rest in pieces Jamani. Hausiki hapo kabisa. Yani amekana team yake kwahiyo mwache apumzike kidogo plz plzKweli adui muombee njaaa..... Kwa Hiyo sasa hivi uchafu wa simba unasafishwa na nyodo za zari....
Naona team miss tz 2006 shangwe tuu dah
Dunian kuna mambo..sio kila kitu lazma uamini..think on the other side too...nani hajui kuna beef btn kibibi mtu sandra ..esma na zari...we all know that....hawa wanawake km wamefanya haya kwa mwenzao tena ni mjamzito Mungu atawahukumu na kuwalaani...hawaon hali yke...wangeacha azae ndio wamchezee lkn not at tht condition..huyo esma kahaba km mama yk kila mtt na baba yake...wanataka na dai nae azae hovyo....
Zari ni mzee sawa diamond si age yke sawa na zari nae ukute ana makosa yke makubwa tu but dont ever stress a pregnant woman jaman...there are two lives there...either afe yy kwa stress au mtt...watafurahi...mxiiu ndio shida ya kuwa na watu low class
Sisi wanawake wa Dar hutujui jana nimeisaka na namba yake Mondi kwajinsi navyopenda ubuyu nkaipata. Kilikua na emoji kanacheka. NgachokaMmmh hii kweli whtsp ya chibu au watu wametengenezw
Kwann diamond aweke ile dp ya hamisa whtsp na status ya vileBut hii kitu inaweza pandwa na vidudu mtu vile vile...mi nna amini hii kitu ni mpango shetan ESMA NA MAMA YAKE hawashindwi kitu wa tandale wale....wao wana access na chumba cha dai..wamefanya kumkera zari i believe that..
Utakufa nacho KIJIBA CHA ROHOHao jamaa wagoroko sana wanatoa nyimbo mbaya wakiona zinabuma wanaanza kutengeneza kiki za kipumbavu Kama hizo!
Duuuh asee Kama ni kweli zari ameshachokwa akubali ukweli tu, sio kwa dharau hizo ila alianza pale alipimwambia atoe mimba zari akakataaSisi wanawake wa Dar hutujui jana nimeisaka na namba yake Mondi kwajinsi navyopenda ubuyu nkaipata. Kilikua na emoji kanacheka. Ngachoka
Me siwalaumu hao mapaka shume, watu wanatembea na waume za watu, itakuwa baby daddy wa mtu. Mbaya wa zari ni Dai period. Watu wanaona fursa kwa Dai, na aombe tu hiyo michepuko isije ikabeba mimba na yenyewe
Zari ndo kaweka ile!Kwann diamond aweke ile dp ya hamisa whtsp na status ya vile
Mm mwenyew moyo hautakiZari ndo kaweka ile!
Nakataa dai kuweka ile
Wema anakunywa Pepsi bariiiiidiii!Teh teh...Zari manyodo kakalishwa na Hamisa Muuza sura...[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Teh teh...Zari manyodo kakalishwa na Hamisa Muuza sura...[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Hata zile hereni,zimewekwa tu!maana toka siku hizo zote azione Jana!Mm mwenyew moyo hautaki
Douta, hebu nipe ufafanuzi wa huu uhusiano wa Diamond na Zari ili na mimi nikeep up na hii thread, hasa kwa kunifafanulia haya:-
1. a) Zari akiwa South huwa anakaa wapi? Make kuna siku niliwahi kuona posts za yeye yuko swimming pool ambayo Ivan pia alipost akiwa hapo (Evelyn Salt alituwekea humu kama sijasahau).
b) Kama jibu la hapo juu ni ndiyo, je huwa analala chumba cha peke yake au wanachangia chumba na Ivan?
Kama jibu la a) ni hapana, basi swali b) halina nafasi.
2. Birthday ya Tiffah (Mtoto wa Taifa) ilifanywa ya upande mmoja tu, wa mama, na kwenye hii Birthday inaonekana Ivan alishiriki bega kwa bega na alitoa hadi zawadi, na Zari alimpost Ivan.
Sasa je, nini kilimtatiza Diamond kusafiri au Mama Tiffah kumleta mtoto kwenye Birthday Party ya huku Dar?
3. Zari anaweza kukaa South kwa muda wa zaidi ya miezi hata miwili bila D kukutana naye, je D aendelee kuwa anadubiri?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeonaee huyu Bibi kwa kiki hawajamboHata zile hereni,zimewekwa tu!maana toka siku hizo zote azione Jana!
Kiki tu kaona kaja bongo watu wamempotezea ndo katafuta kick!
Alafu ukute amejua zari anaendelea na Ivan maana kule kwa madiba bado anaishi nyumba ya Don ndomaana alimununulia Tee nyumba kusudi akienda wasikutanie kwenye nyumba ya Don. Kwahiyo behind the scene kuna mengiDuuuh asee Kama ni kweli zari ameshachokwa akubali ukweli tu, sio kwa dharau hizo ila alianza pale alipimwambia atoe mimba zari akakataa
International drama queen![emoji23] [emoji23] [emoji23] umeonaee huyu Bibi kwa kiki hawajambo