Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Ivan Na Zari wametengana ila wanashirikiana vizuri kwa ajili ya watoto wao+ ni business partners sijui. Ivan alimpa zawadi tiffah kama tu mwanae I guess. Mbona diamond huwa anawapost boys wa zari pia?? Kwa kweli mahusiano ya hawa watatu nafikiri wanayaelewa wenyewe vizuri, maana kumuona "mkeo" close hivyo na baby daddy wake, wanaume wa bongo hawaelewagi hilo

Hapa nadhani siyo wanaume wa Bongo tu aisee, yaani mtu akae South miezi miwili, kwenye nyumba ambayo huyo baby daddy anakaa halafu utamu usikutanishwe?

Anyway, tuchukulie kwamba labda ni wasiwasi wangu tu, huwa utamu haukutanishwi, kuna kipindi D alisafiri kwenda South akasema amefikia kwenye nyumba yao (tuliambiwa eti D aliinunua kwa ajili ya mwanae), I expected kuona Mama Tiffah akiishi hapo in case akiwa South, lakini inaonekana sivyo.

Mi huwa nakaa nafikiria kuwa uhusiano wa D-Zari-Ivan uko on mutual benefit, so I don't take them serious, na hii mimba ya Zari hata sina uhakika kama ni ya D au Ivan, hata kale katoto sijui kama ni ka D kweli ingawa watu wanasema eti kana domo kama la D etc etc.

All in All, D ni msanii mkubwa, maisha yake lazima tuyafuatilie sisi washabiki.
 
Hapa nadhani siyo wanaume wa Bongo tu aisee, yaani mtu akae South miezi miwili, kwenye nyumba ambayo huyo baby daddy anakaa halafu utamu usikutanishwe?

Anyway, tuchukulie kwamba labda ni wasiwasi wangu tu, huwa utamu haukutanishwi, kuna kipindi D alisafiri kwenda South akasema amefikia kwenye nyumba yao (tuliambiwa eti D aliinunua kwa ajili ya mwanae), I expected kuona Mama Tiffah akiishi hapo in case akiwa South, lakini inaonekana sivyo.

Mi huwa nakaa nafikiria kuwa uhusiano wa D-Zari-Ivan uko on mutual benefit, so I don't take them serious, na hii mimba ya Zari hata sina uhakika kama ni ya D au Ivan, hata kale katoto sijui kama ni ka D kweli ingawa watu wanasema eti kana domo kama la D etc etc.

All in All, D ni msanii mkubwa, maisha yake lazima tuyafuatilie sisi washabiki.
Teh hapo ni pagumu honestly, wana agreement zao nafikiri. Tuwaache tu, muda utasema
 
Basi kama Zari na Don bado ni business partners then Salome na Mondi pia business partners. Nasijui watu wanakata mondi kuweka salome DP. Mondi mswhili sana, hamkumbuku tangu yuko na wema mara kumrikodi akiomba msama. Wema kweli alikua tolerant. Mara kumuimba kwenye nyimbo. Mara kusema kidoti matapishi. Mara Penny anajipendekeza kwa maza Kwahiyo kumueka zee kwenye dp is just a simple thing. History repeats its self. Acha movie endelee cc. Me and I
 
Hao jamaa wagoroko sana wanatoa nyimbo mbaya wakiona zinabuma wanaanza kutengeneza kiki za kipumbavu Kama hizo!
we jamaa ni great thinker mashabiki wengi wa huyu jamaa ni mahaba niuwe na jamaa anatumia advantage hiyo kutimiza malengo yake.Ndio maana sasahivi hawez kutoa audio bila video coz audio za jamaa ni kama moto wa kifuu unawaka faster na kuwahi kuzimika so utasikia da vedio kali na ili aendeleee kuwa midomoni mwa watu ndio kiki kila siku! Nawatu wanaamini hizo fix!
 
SEMA UKIZIANGALIA VIZURI NI KAMA ZA MAVOKO VILE
rich-mavoko-imebaki-story.jpg
Umeonaa eeeh .
 
Si anataka kumdhalilisha Malaya hamisa, huyo hamisa Malaya mchafu ndio maana majizo kamuachs
Acha hizo binamu kwani Hamisa ye ndo wa kwanza kuachwa?[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]

Wasanii wa bongo nani sio malayaaa?!!

Zari ana usafi gani?!!!

Wote Malaya Huyo zari aolewe basii;

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ndo ashalala naeeee!!
 
Duh!!! Kwa style hii ni haki aibiwe bwana wake, kweli unagundua mtu analetwa chumbani kwako halafu unatangazia Dunia, iili iweje? mambo ya chumbani yaishie huko huko chumbani hana mana senti 5, kwa tabia hiyo na akili hizo hawezi mdhibiti Mondi pamoja na uzuri wote usikute kuna mengi ya chumbani ni zero sema kaka ndo hivyo alikuwa anapenda watu maarufu na alitaka watoto ila usikute huko chumbani kuna kasoro za kurekebishwa.
 
Back
Top Bottom