Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Umejuaje wana muhate usiusemee moyo kwa personal feelings zake. Mbona Uzi wowote ukiletwa tuna discuss magu yenyewe anasemwa ije kuwa zarina wa viserengeti boy
Hahaha zarina wa viserengeti

Ndio maana wanamdhalilisha

Umri uke alitakiwa apate mtu mzima mwenzie

Mwenye watoto kamaliza kuzaa na yeye kamaliza kuzaa wale maisha

Acha ahangaike na damu moto

Atapangwa foleni mpaka na mahausigeli wa uswazi
 
Hahaha zarina wa viserengeti

Ndio maana wanamdhalilisha

Umri uke alitakiwa apate mtu mzima mwenzie

Mwenye watoto kamaliza kuzaa na yeye kamaliza kuzaa wale maisha

Acha ahangaike na damu moto

Atapangwa foleni mpaka na mahausigeli wa uswazi
Huyu kweli before alikua bossylady sasa kushindana na kina Hamisa, tunda kisa mwanaume ndo mana jamii yamshangaa. Huyo angemtafta veterani mweziwe watulie bas bila hivo kila siku atakua atupa ubuyu wa Ku discuss JF
 
Yy sio wa kwanza kuachwa

Yaelekea ulimtokea Hamissa kakuchinjia baharini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Poleeeee!!!

Wangapi wamezaa wakaachwa,kaachwa Angeline jolie seuse Hamisaa!!

Ukiibiwa bwana nawe mtafute mnyonge umuibie!

Povuu jingi team bibi kizeeee!!

Muambienk atafute saizi yake mzee mwenzie!
Bi kizee anakuwa na miaka 34? Umri huu bado ni wa uzazi, ndoa na urembo. Kwenye miaka 45, 50, 60, 70 ataitwa nani? Si vema kumkashifu mtu kiumri. Dai kampenda mbele yenu nyie mnajiona visichana. Zari ana heshima yake kifedha, kiurembo, kisura, kiexposure, kibiashara, kimakazi, usafiri, uzazi watoto na malezi yao.Zari is real a Boss Lady.
 
Bi kizee anakuwa na miaka 34? Umri huu bado ni wa uzazi, ndoa na urembo. Kwenye miaka 45, 50, 60, 70 ataitwa nani? Si vema kumkashifu mtu kiumri. Dai kampenda mbele yenu nyie mnajiona visichana. Zari ana heshima yake kifedha, kiurembo, kisura, kiexposure, kibiashara, kimakazi, usafiri, uzazi watoto na malezi yao.Zari is real a Boss Lady.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kibibi kile bwana
 
Huyu kweli before alikua bossylady sasa kushindana na kina Hamisa, tunda kisa mwanaume ndo mana jamii yamshangaa. Huyo angemtafta veterani mweziwe watulie bas bila hivo kila siku atakua atupa ubuyu wa Ku discuss JF
Namhurumia lakini

Ubosslady uliletwa na Ivan

Hata wanaosema kuwa wana share na ivan mie nina mashaka maana si kwa kudorora huko... mpaka kufikia level za kukimbizana na kina Hamisa
 
Toka mwaka jana ana 34 haongezeki? Au miaka yake inapungua????

Akifika 45-60 ataitwa ajuza

Domo kampenda ndio....na ndio maana Hamisa anajilia vile vile hatujabisha aisee

Nani alikwambia sie tunajiona visichana? Sie vibibi kama yeye ila hatuact kama yeye (utafikiri kabalehe jana)

Heshima ya kifedha alikuwa nayo zamani...sio sasa hata maduka SA kafunga..... heshima kiurembo ?? (Upi???) Sura labda... (pentagon shape)

Kimakazi na usafiri??? SA power of mortgage inahusika (kwanza ni power of Ivan)

Uzazi hapo hakuna ubishi anao..acha ajaze dunia

Ubosslady?? Nah.... Imebaki story



Bi kizee anakuwa na miaka 34? Umri huu bado ni wa uzazi, ndoa na urembo. Kwenye miaka 45, 50, 60, 70 ataitwa nani? Si vema kumkashifu mtu kiumri. Dai kampenda mbele yenu nyie mnajiona visichana. Zari ana heshima yake kifedha, kiurembo, kisura, kiexposure, kibiashara, kimakazi, usafiri, uzazi watoto na malezi yao.Zari is real a Boss Lady.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kibibi kile bwana
Jamaa kama kapanik.....

Nimemwambia hata soe vibibi

Hivyo asijali [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Toka mwaka jana ana 34 haongezeki? Au miaka yake inapungua????

Akifika 45-60 ataitwa ajuza

Domo kampenda ndio....na ndio maana Hamisa anajilia vile vile hatujabisha aisee

Nani alikwambia sie tunajiona visichana? Sie vibibi kama yeye ila hatuact kama yeye (utafikiri kabalehe jana)

Heshimabya kifedha alikuwa nayi zamani...sio sasa hata maduka SA kafunga..... heshima kiurembo ?? (Upi???) Sura labda... (pentagon shape)

Kimakazi na usafiri??? SA power of mortgage inahusika (kwanza ni power of Ivan)

Uzazi hapo hakuna ubishi anao..acha ajaze dunia

Ubosslady?? Nah.... Imebaki story
Bosslady zari!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

shoga na sie vibibi!!!

Ngoja ntafute dogodogo rayvanny mie!

Nimzalie!!
 
Back
Top Bottom