BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yap sio kwenye kupiga kura tu!
hata na mapenzi mtanzania mwenzetu katurudishia kijana wetu nyumbani!
wa hapahapa!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ,we jamaa noma sanaSEMA UKIZIANGALIA VIZURI NI KAMA ZA MAVOKO VILE
Zari ni mzee[emoji15] ,unaambiwa mtoto anainekana kama ndo ana 19 yrs,mtoto mzuri bhana,acha wivuZari hivi yule mama anajiheshimu au kujielewa hata maana ya stara!
Uzee ule watoto wanne na mimba juu bado anatafuta cheap popularity.....
Asante Mungu kunifanya nijitambue japo sio msafi na mkamilifu!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] camera 360Zari ni mzee[emoji15] ,unaambiwa mtoto anainekana kama ndo ana 19 yrs,mtoto mzuri bhana,acha wivu
Aah tushaiteka nyumba ya madale(tiffah) na badoooo mtaishia kuchezea uduu mwaka huh mpaka mkome, nyie mtaishia kuwa ma video queen tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mamaeee domo mwenyew anajua madem wa Tz kichwan zeroooHalahala binamu
Kibongobongo child support inaweza ikawa 50,000.00 kwa mwezi
Haitoshi hata shopping ya nguo za mr price au woolworth ya SA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bora akomae anunuliwe nyumba SA..(hapo atatoka mrithi).angalau atoke kwenye ile nyumba ya sasa anayokaa kwa hisani ya Ivan (halafu wabongo mmeisifiaaa kumbe nyumba ya kawaida ti)
We ngoja tuAah tushaiteka nyumba ya madale(tiffah) na badoooo mtaishia kuchezea uduu mwaka huh mpaka mkome, nyie mtaishia kuwa ma video queen tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mamaeee domo mwenyew anajua madem wa Tz kichwan zerooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we kimbwi222niniWe ngoja tu
Maumivu ya kichwa huanza mdogo mdogo
Bibi tukinao ndio ajue aache mbwembwe
Dudes Ko lang nakita Kim K pinaka nude pics kailanman !!! gotta mong suriin ito out: P
http://www.earnthenecklace.com/kim-kardashians-hottest-see-through-outfits-from-new-york-fashion-week-2016/]Kim Kardashian Nude Photos[/url]
We ngoja tu
Maumivu ya kichwa huanza mdogo mdogo
Bibi tukinao ndio ajue aache mbwembwe
Huyo ni muuzaji wa kimataifaHuyu boss labour nae hana akili kabisa kwa miaka alokaa Na Ivan leo alitakiwa awe na ma biashara ya maana east africa... Lakini Wp hana tofauti na wauzaji wa hapa[emoji23]
Hahahaj hilo jina la bi tukinao nililipata kwa kimbwe222[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we kimbwi222nini
bi tukinao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!
tunaitwa haters
Binamu eeeh!Zari ndo kashasema sasa, umesikia diamond au mama ake wakibisha?? Chezeya mama mwenye nyumba weyeee
Nyumba ya tiffah binamu sio ya mama ndomo ujue, halafu too baaad baby boy anakujaaa mbona team zari tushaiteka madaleeee, weraaaaa madale yetuuu hamtaki kanyeni mabogaaaa, kama mlishindwa kuzaa zari anawaonyesheni sasa jinsi ya kuzaa, bwaaaaaah
Hahahaha hivi ile picha ni ya vanessa kweli????? Kama ndio kweli camera 36,000 inasaidiaBinamu eeeh!
hebu tuachane na hawa tuletee wa V money na kikaptula chake makalio yameonekana!
Japo nampenda Vanessa Ila mlete hapa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila kweli moyo mashineHahahaj hilo jina la bi tukinao nililipata kwa kimbwe222
Kwanza ilinichukua muda kujua anamsema nani
Nilipogundua ikabidi nicheke tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh!Huyo ni muuzaji wa kimataifa
Ndio maana Mary luswata alimwambia utanu wake ni sawa na "un summit"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo yeye live shoga angu nakuambia hivi!Hahahaha hivi ile picha ni ya vanessa kweli????? Kama ndio kweli camera 36,000 inasaidia
Jipeni moyo [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji23] [emoji12]Endeleeni kujifariji
Tena hivi Domo ni muislamu yelewiiiiii
Hata tiffa hana urithi
Unless Domo aandike wosia...sembuse huyo anayekaa dar wiki 3 SA miezi 2????
Hahahahah
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] timu vuzzzilady leo mtatutoa ngozi kwa kisoda
Tena ubuyu wa Vanessa nilikuwa nataman niukute huku,mana insta umenoga hatari,kupatwa kwa vitako[emoji23] [emoji24]Hahahaha hivi ile picha ni ya vanessa kweli????? Kama ndio kweli camera 36,000 inasaidia
Teh zari naye alijiona ana hati miliki mno na huyo chibu nikikumbuka alivokuwa ana mnanga Wema na shauzi kiruu alijua ni wake tu. Sasa kimemugeukiaumeona eeehh!!
ndo tunamuongelea km wanavyoongelewa wengine!!
walitarajia tumponde missa baby!!
akkaaahh!
Mwenzangu vanesa anaitendea haki camera 360[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo yeye live shoga angu nakuambia hivi!
hawa mastaa wetu tukikutana nao wakawaida sana tu!!
Sema ndo hvyo iPhone lazma chunusi km yangu iwe foundation