Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

True kabisa, wacha movie iendelee ila Kama ni kiki imeuza sana
 
Kanywe Pepsi kwa mangi bill kwangu tafadhali
 
Mmh binamu sio kwa tako like, kama mjaluo, halafu sijui Ana ukurutu jaman, loh yan uson yupo vzur huko nyuma sasa, mmh cjui kwa bibi patakuaje
Hahaaaaa Vanessa kaniacha hoi kapost video na make up kaji edit tena anaonyesha eti had mguu. Huku ni kupatwa kwa Vanessa
 
Zari hivi yule mama anajiheshimu au kujielewa hata maana ya stara!

Uzee ule watoto wanne na mimba juu bado anatafuta cheap popularity.....

Asante Mungu kunifanya nijitambue japo sio msafi na mkamilifu!!!

Usijali.... kwenye swala la usafi niachie. Ntakuogesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…