BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hahaha napunguza, ila huoni huu mdororo wa kiuchumi??? [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] unamchamba sana
Punguza dozi pliiiz!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha napunguza, ila huoni huu mdororo wa kiuchumi??? [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] unamchamba sana
Punguza dozi pliiiz!
Mie sijui nijisogeza kwa yule wa wolper??? (Ila hana mvuto yule, lakini nitafumba macho) hahahahBosslady zari!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
shoga na sie vibibi!!!
Ngoja ntafute dogodogo rayvanny mie!
Nimzalie!!
Angekuwa mzuri asingeachwa na majizooo,haha lulu kamzid atamuweza zari ...Malaya tuTuache utani Hamisa Mobeto mzuri jama...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie sijui nijisogeza kwa yule wa wolper??? (Ila hana mvuto yule, lakini nitafumba macho) hahahah
Nakuunga mkono asilimia zote,familia ile ina uswahili sana.But hii kitu inaweza pandwa na vidudu mtu vile vile...mi nna amini hii kitu ni mpango shetan ESMA NA MAMA YAKE hawashindwi kitu wa tandale wale....wao wana access na chumba cha dai..wamefanya kumkera zari i believe that..
Uzuri sio kigezo cha kutoachwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Angekuwa mzuri asingeachwa na majizooo,haha lulu kamzid atamuweza zari ...Malaya tu
Wana bonge la Chemistry na Siimbaaaaaaaaaaaaa!!!!Tuache utani Hamisa Mobeto mzuri jama...
Timu yake wakija lazina watunyonyoe ngozi kupitia keyboard [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wana bonge la Chemistry na Siimbaaaaaaaaaaaaa!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Timu yake wakija lazina watunyonyoe ngozi kupitia keyboard [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yeye kamkacha Ivan ili afate umaarufu madai yake hapo anajifananisha na Kim kardashian na Kanye west wa East Africa atii sasa kina hamisa watamfanya kichaa.Namhurumia lakini
Ubosslady uliletwa na Ivan
Hata wanaosema kuwa wana share na ivan mie nina mashaka maana si kwa kudorora huko... mpaka kufikia level za kukimbizana na kina Hamisa
Hivi ka alikua anajikojoza mwenyewe ndo atakaa two months bila kuonana na chibu asimkumbushie mzazi mwenziwe. Nadhani hata dai anamlipizia kiaina.Ya kwake
Farook alimrekodi wakati akijiskype kama sikosei
Full msitu wa congo kama sio amazon
Tuonyeshe sources zake za income mkuu anazomiliki kwa jina lake siku hizi kuwa na gari mbona kitu cha kawaida tu na sio ufahari ni usafiri.Bi kizee anakuwa na miaka 34? Umri huu bado ni wa uzazi, ndoa na urembo. Kwenye miaka 45, 50, 60, 70 ataitwa nani? Si vema kumkashifu mtu kiumri. Dai kampenda mbele yenu nyie mnajiona visichana. Zari ana heshima yake kifedha, kiurembo, kisura, kiexposure, kibiashara, kimakazi, usafiri, uzazi watoto na malezi yao.Zari is real a Boss Lady.
Watasema mnamuonea wivu bilionea zarina kazaa watoto wengi na bado mrembo ka tineja wa 16[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakuambia wanajirejista jf kwanza
Wakifika celebrity forum!
Mi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Watoto wadogo wabichiii!!Yeye kamkacha Ivan ili afate umaarufu madai yake hapo anajifananisha na Kim kardashian na Kanye west wa East Africa atii sasa kina hamisa watamfanya kichaa.
But why this much hate though?
Jealousy and envy?
Jealousy and envy?
kiswahili ndo tuseme 'wivu na 'husuda'?
au envy kwa kiswahili tunasemaje?
Ndo utetezi wao huoo!!Watasema mnamuonea wivu bilionea zarina kazaa watoto wengi na bado mrembo ka tineja wa 16
Ila acheni masikhara hurumaaaaYeye kamkacha Ivan ili afate umaarufu madai yake hapo anajifananisha na Kim kardashian na Kanye west wa East Africa atii sasa kina hamisa watamfanya kichaa.
Utaambiwa wanashare na ivan...Tuonyeshe sources zake za income mkuu anazomiliki kwa jina lake siku hizi kuwa na gari mbona kitu cha kawaida tu na sio ufahari ni usafiri.