Hahahaha nakusoma tu unavyowakera na umejua kuwakera haswaa tangu juzi,,,, hahahaha we jembe sio kwa mashambulizi mengi vile
Mi nilishalipuuzaga hili bibi naona kubishana na mashabiki zake ni kupoteza muda tu
Tukinao atatetewa na wanaume tu, ila wanawake lazima awakere, maana anachanga karata sio za dunia hii.
Ahsante kaka kumbe mpo mnaojielewa!!kujenga sio kazi rahisi chief, so wadada ukiwaambia nakupangishia au kukununulia nyumba unakuwa umejikusanyia point 3 muhimu akilini mwao alafu ndo unakula vzr pekupeku hawaogopi mimba kabsaa.
Mapenzi ni plans tu sioni diamond alipokwama,kama alimnunulia nyumba alafu mwanamke anacheat ndani ya nyumba yake(diamond) kumchafua ni haki yake kwakuwa ameshindwa kujiheshimu
Yote tisa kumi kwenye msiba wa mama yake yaani mwanamke utasema hajazaa macho makavu kwenye camera jitu nzima kupenda camera kuliko heshima yake
Kujielewa na kwenda kimboka ni vitu vinaweza ambatana,Usiseme wanaume sema makahaba ya kiume waliozoea kwenda kimboka...
Maana wanaume wa maana hayupo anaemtetea hata mmoja
Hahahaha nawasubiri na mapovu yaoNshawazoea Mimi halafu sinaga unaafiki Zari nilikua nampenda sana tu mambo yake ya ajabu yakafanya nimuone nae hamnazo
Hao mashabiki wake ni wale wenye chuki na watanzania !!!wanaoishu kwa kutegemea kudanga,wanaofikri maisha bila kudanga hutoboii!!!na akili lazima udange,ulalwe au kuishi mpk uwe tajiri au uwe na show off za ajabu ajabu
Huyo mwanaume atakua km dhamira yake ni ngono tu!anaejielewa atatulia kwa familia yakeKujielewa na kwenda kimboka ni vitu vinaweza ambatana,
Vipi mwanaume anayejua anahitaji ngono tu, halafu anatongoza binti mwenye malengo, lakini haendagi kimboka!!!
Hamisa tena[emoji848][emoji848][emoji848]Hahahaha nawasubiri na mapovu yao
Boss wao hana cha kujitetea!! Hii drama kafeli vibaya mno angekuwa amemove on asingehaha kupost madongo mitandaoni eti leo anamuita diamond 'domo' hehehehe mswahili tu halafu alivyo juha anapost na kufuta hahahaha misa alijua kumvuruga huyu bibi
Dawa ya mwanamke jeuri mchukulie bwana ake
Hizi zote ni side effect za hamisa mobeto
Na binti wa watu mwenye malengo anabakije sasa!!!Huyo mwanaume atakua km dhamira yake ni ngono tu!anaejielewa atatulia kwa familia yake
Eh ulikuwa hujui kuwa bado mnaicheza ngoma ya hamisa au???Hamisa tena[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji16]alituita watanzania wagumba kisa kazaa...Hamisa kazaa kalia kanyamazaHahahaha nawasubiri na mapovu yao
Boss wao hana cha kujitetea!! Hii drama kafeli vibaya mno angekuwa amemove on asingehaha kupost madongo mitandaoni eti leo anamuita diamond 'domo' hehehehe mswahili tu halafu alivyo juha anapost na kufuta hahahaha misa alijua kumvuruga huyu bibi
Dawa ya mwanamke jeuri mchukulie bwana ake
Hizi zote ni side effect za hamisa mobeto
Na binti wa watu mwenye malengo anabakije sasa!!!
Hamisa si ndio league za akina lyne!!! Huyu aliyeitwa mchawi na diamond!!Eh ulikuwa hujui kuwa bado mnaicheza ngoma ya hamisa au???
[emoji3][emoji3][emoji16]alituita watanzania wagumba kisa kazaa...Hamisa kazaa kalia kanyamaza
Hapo mwanamke jeuri mchukulie mumewe unanikumbusha Milly na Mange,ugomvi wao!
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]
Tusamehe tuliomjua zari juzi. Maana hatujui hizi show off ndio maisha yake[emoji23][emoji23]Kuishi fake life raha sanaView attachment 1083164
What goes around comes around!Mbona mwakitombile na yy alikua analala kwenye ile nyumba ya Ivan...mkuki kwa nguruwe[emoji23]
Mchawi aliyemvuruga malaika wenuHamisa si ndio league za akina lyne!!! Huyu aliyeitwa mchawi na diamond!!