Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]ni suala la muda tu nyumba kama hili lilivyokuja yetu macho mchawi bando tuu!!!

Anadai eti sijawahi cheat kama nimechiti basi wanangu niwachinjeee..mavi yake kuna mtu ashawahi kukubali kufumaniwa au mwizi ashawahi kukubali kuiba?
.
Hivi treina alikua anampa nini Boss wako[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]

Mwenzenu kashapewa nyumba tayar , na nyie kama wanawake kweli zaeni na wanaume wawape nyumba🤣🤣

Sasa mwenzenu alizaa kwa akili , he wanted that life , na nyumba ni ya watoto wake , there is no way domo anaweza wafukuza watoto wake , then wakaishi wap ? , tabu mnapata nyie kuvamia mabwana za watu huku code hamna, mxieew 🤣🤣🤣, dah Ila zari sijui anafanyaje mamaye, watu roho zinawauma.


Ebu kwanza tuulize, nyie mlivyozaliwa, mama zenu walipewa nini ?🤣🤣, zari ako juu kama Pierre 🤣🤣
 
President wa single mothers akothee kamjibu mange, ivi mbona anawashwa kuliko esma mwenye kaka yake
 
Mange bwana si uliaminisha watu ile nyumba ya kupanga leo unameza matapishi yako
 
Mwenzenu kashapewa nyumba tayar , na nyie kama wanawake kweli zaeni na wanaume wawape nyumba[emoji1787][emoji1787]

Sasa mwenzenu alizaa kwa akili , he wanted that life , na nyumba ni ya watoto wake , there is no way domo anaweza wafukuza watoto wake , then wakaishi wap ? , tabu mnapata nyie kuvamia mabwana za watu huku code hamna, mxieew [emoji1787][emoji1787][emoji1787], dah Ila zari sijui anafanyaje mamaye, watu roho zinawauma.


Ebu kwanza tuulize, nyie mlivyozaliwa, mama zenu walipewa nini ?[emoji1787][emoji1787], zari ako juu kama Pierre [emoji1787][emoji1787]
Binamu ushapikaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]!!gazeti lakini hakuna point amepewa alinde bwana!!
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]daahh!kunywa mirinda bili kwangu!
Hawa wakaka wakamtoe gundu Dada wa watu afunge historian vzr
Zari kwa Sasa ana tafuta future husband nenda uganda ukamchumbie maana kaka povu toka asubuhi unalimwaga si la kawaida kamtoe gundu yule bibi aweke historia yake vizuri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu mimi sina u timu naandika ninacho ona ni sahihi hii tabia ukimkosoa Zari viumbe wanaongea ni wivu kwa mafanikio yake ya kutumia kitumbua chake vizuri ni ujinga
Mawazo yao mafupi sana!yaani asikosolewe tunaona wivu yeye ni nani?
Kama watu walikua wanawakosoa watu wa maana kabisaa...

Ukweli Zari anachemka mnoo!!!na ni mdangaji kama wengine..kama kweli ana pesa alipe google ile video clip yake iondolewe kama alivyofanya Janet Jackson na Kim K!!![emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wamesahau fake shape ya vera na ufake wa huddah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila kuwa mfuasi wa mange raha sana leo akisema nyumba sio ya dai,misukule inaitia yeebaa kesho nyumba ya dai wanaitikia tawileeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanasahau hao nao wakiwa provoked wanatukana. Wamesahau issue ya vera na ex wake, vera alimdhalilisha sana otile.
 
Huyo Zari ndo level Zake hizo maana nayeye kaachwa kwa kuchapwa matukio mpk katimkia...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Zari ni km akina Hamisa ndo maana wote kawalala kawapiga mimba kawazalisha kawaacha

Zari kachezewa mpk kwenye msiba wa mama yake,kashikwa shikwa mbele ya hadhara na hajaolewa inauma asikuambie mtuu!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Hamisa si ndio league za akina lyne!!! Huyu aliyeitwa mchawi na diamond!!
 
Jamani sikilizeni wasafi FM sasa hivi wanapiga nakshi nakshi mrembo ya Ally K
 
Ndo kiboko yake wakati ule alihisi bongo hamna wanawake ni yeye kaja kuokoa jahazi hahahahaha tukio la hamisa kuzaa na bwana ake ni donda ndugu kwake na litamuumiza sana na baado
Hamisa katukomeshea mtu jamani!!Anawajua wabongo anawaskia!
Hakuna mwanaume wa kujielewa atakaemuoa yule bibi!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
 
Hiyo video mtanitumia baadae, sasa hivi nitumieni kwanza ya mariamu biriani!!
 
mpenzi unashusha fact mno [emoji122][emoji122][emoji122]yaani nimeona video yake anatoa ulimi nje yule mama hii ishu imemgusa mno.
Amedata kabisa maana aliyoambiwa ni ukweli mtupu ajisemea Mange, amemtibua vuzi hahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu mimi sina u timu naandika ninacho ona ni sahihi hii tabia ukimkosoa Zari viumbe wanaongea ni wivu kwa mafanikio yake ya kutumia kitumbua chake vizuri ni ujinga
Exactly kabisa na ndio maana kuna watu nimewaweka kwenye ignored list humu jf sababu ukiwa against mtu fulani basi wanakuweka kwenye utimu, kwa mtu mwenye akili zake akiona amezungukwa na watu wao kazi kumsifia tu bila kumkosoa jambo anatakiwa ashtuke na ajue hayupo na watu sahihi.

Ukweli utasemwa tu, Zari ni whore kama whore wengine na jana kadhihirisha hilo lakini pia depression inampelekesha na yupo insecured sana.
 
Hapo kwa kumsema Wema Sepetu wakati akili zao wote ni sawa umemaliza kila kitu. Anavyomuona Wema ndio na yeye yuko hivyo hivyo. Tatizo huwa hakubali kujiangalia mapungufu yake. Anajionaga mkamilifu /mjuzi wa kila kitu - ndio hapa panapomfelishaga maisha. Kuhusu kufake life yeye ndio bingwa hakuna anaemkaribia. Ila kukicha anawasema wengine wanafake.
 
Hiyo video mtanitumia baadae, sasa hivi nitumieni kwanza ya mariamu biriani!!
Video ipi? ya Zari akichezea mtumbua wake? hahaha
hata usiiangalie utachefukwa ushindwe kula wiki nzima maana Boss mzima hata kunyoa vuzi shida,
yuk yuk[emoji31] wanamuacha kwa mengi walai.
 
Back
Top Bottom