Mwenzenu kashapewa nyumba tayar , na nyie kama wanawake kweli zaeni na wanaume wawape nyumba[emoji1787][emoji1787]
Sasa mwenzenu alizaa kwa akili , he wanted that life , na nyumba ni ya watoto wake , there is no way domo anaweza wafukuza watoto wake , then wakaishi wap ? , tabu mnapata nyie kuvamia mabwana za watu huku code hamna, mxieew [emoji1787][emoji1787][emoji1787], dah Ila zari sijui anafanyaje mamaye, watu roho zinawauma.
Ebu kwanza tuulize, nyie mlivyozaliwa, mama zenu walipewa nini ?[emoji1787][emoji1787], zari ako juu kama Pierre [emoji1787][emoji1787]