Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

Hahahahaha lol! Mzima weye? Zari ni mtu mzima mama wa watoto watano. Kama ameamua kudate kwanini amfiche new BF? Anaweka picha kule insta wakiwa pamoja lakini anamficha akiacha mikono kidogo tu 😳
Nahisi wambeya walimtonya DP kwamba P Square ndiyo yuko na mzazi mwenzio na yeye akaamua kuwalipua kwamba walikuwa wanachepuka siku nyingi. Kama huyo anayefichwa ni P Square basi wakiamua kuonekana rasmi kitaa DP ataonekana alisema kweli vinginevyo P Square anaweza kuona ishakuwa noma akasepa kimoja.

Sijaziona lakini hizo herufi tatu za kujazilia kwenye lile neno 😜😜
Hahahaaa herufi tatuTununu Inofu Winome kama kihehe kinapanda utaelewa
Kuna clip P Square naona kamponda sana domo lakini body language yake tells you all....kuna kijimambo
Walikuwa na wanabinjuka kwenye nyumba ya mwenyewe
Kwa kupanic huku kwa binTukinao utajua kuna kitu anajaribu kuficha
Zari akiongea Kiswahili utafikiri hana meno kigugumizi kwa sana
Kiswahili watuachie wenyewe wenye nacho
 
Kabisa hata body language ya Zari pia alipokuwa akimjibu DP ilikuwa si ya kawaida ilionyesha kutojiamini na hata macho yako yalionyesha kwamba alikuwa hasemi kweli.

Hahahaaa herufi tatuTununu Inofu Winome kama kihehe kinapanda utaelewa
Kuna clip P Square naona kamponda sana domo lakini body language yake tells you all....kuna kijimambo
Walikuwa na wanabinjuka kwenye nyumba ya mwenyewe
Kwa kupanic huku kwa binTukinao utajua kuna kitu anajaribu kuficha
Zari akiongea Kiswahili utafikiri hana meno kigugumizi kwa sana
Kiswahili watuachie wenyewe wenye nacho
 
Ila zari mwehu , wanazengo mmeona video ya zari anamringishia mange kitu cha Gucci and Versace , eti anamwambia mange I know you want this 🤣🤣🤣, yan zari mwehu , atamuua mwenzie kwa pressure hajawah vaa Gucci
Mange anavaa Vijinguo vya makahaba wale wa short time! Kitamba mita moja short enough to draw clients attention and long enough to cover essential parts! Picha yake anapigia toilet za guest house. Maisha ya ZARI yanamtoa roho.
 
Ila Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua mange hajui kuongea vizur physically unlike akiwa anatype, yani ukitaka kichambo cha mange vizur , ngoja akutaipie, atakuchamba mpaka mshipa ya ubongo ikusimame, Ila Leo dada wa taifa kaniangusha, sio wa kuzidiwa kuchambwa na zari .

Ila zari kiboko , eti kamuuliza swali moja tu , ye K yake imemsaidia nini ? 🤣🤣. Naona Bi dada anajibaraguza tu Hana cha kuongea, Leo mama kenzo kapatikana, halafu ukiangalia tu ile video ya mange utaona deep down she envy Zari's opulent living , na anamuogopa sana zari sema tu ndo vile atafanyaje kuondoa maumivu.

Ila mange unafeli wapi dada yetu jaman , unajua tunakutegemea kutupeperushia bendera yetu huko US? , yani na elimu yote hyo uliyokua nayo , na ujanja na shape nzuri , maana sio siri mange unalipa, you have that English figure of which most Rich white men craving for , and frankly speaking , mange you very smart kichwani , una upeo wa akili mkubwa sana, Sasa sijui kwa nini instead of making yourself , unaanza ku attack successful woman ambaye literally kakuzidi kila kitu [emoji16], dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .

Dada mange kwa u smart ulionao, elimu yako nzuri , I'm sure ata ungekua na gang ya Ma prostitute expensive uko US ambao uwaibia wazungu pesa na kuwa drug or black mail them , Sasa dada yetu jaman unakosea wapi ? , maana sijui kazi Tena kuajriwa Ndo basi, and you are almost 40 , with three kids , huna lolote mjini zaidi ya followers mil 3 Instagram , sijui hata kwa nini Uwa unamsema wema sepetu hana akili wakati nadhan akili zenu tu wote sawa
Kwa jinsi nilivyoona ni kama zari ndo amepanic!!....mange ka relax ana mchokonoa na zari kajaa!mange analicheza game vizuri sana!
 
Ila Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua mange hajui kuongea vizur physically unlike akiwa anatype, yani ukitaka kichambo cha mange vizur , ngoja akutaipie, atakuchamba mpaka mshipa ya ubongo ikusimame, Ila Leo dada wa taifa kaniangusha, sio wa kuzidiwa kuchambwa na zari .

Ila zari kiboko , eti kamuuliza swali moja tu , ye K yake imemsaidia nini ? 🤣🤣. Naona Bi dada anajibaraguza tu Hana cha kuongea, Leo mama kenzo kapatikana, halafu ukiangalia tu ile video ya mange utaona deep down she envy Zari's opulent living , na anamuogopa sana zari sema tu ndo vile atafanyaje kuondoa maumivu.

Ila mange unafeli wapi dada yetu jaman , unajua tunakutegemea kutupeperushia bendera yetu huko US? , yani na elimu yote hyo uliyokua nayo , na ujanja na shape nzuri , maana sio siri mange unalipa, you have that English figure of which most Rich white men craving for , and frankly speaking , mange you very smart kichwani , una upeo wa akili mkubwa sana, Sasa sijui kwa nini instead of making yourself , unaanza ku attack successful woman ambaye literally kakuzidi kila kitu [emoji16], dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .

Dada mange kwa u smart ulionao, elimu yako nzuri , I'm sure ata ungekua na gang ya Ma prostitute expensive uko US ambao uwaibia wazungu pesa na kuwa drug or black mail them , Sasa dada yetu jaman unakosea wapi ? , maana sijui kazi Tena kuajriwa Ndo basi, and you are almost 40 , with three kids , huna lolote mjini zaidi ya followers mil 3 Instagram , sijui hata kwa nini Uwa unamsema wema sepetu hana akili wakati nadhan akili zenu tu wote sawa
MwanaHarakati huyu ana Wivu kwa Zari hadi kupitiliza. Oh Mara SAA ya Rolex imetoka kidude, Mara Gucci fake, nyumba so yako. Sijawahi ona nyumba ya Mange nadhani anaishi Ghetto za California. Kwa kuwa anaishi hata ya Baba Kenzo IG kusingekalika! Zari anawaliza wadada wa IG jamani! Zari amebarikiwa kwa kweli
 
Mange anavaa Vijinguo vya makahaba wale wa short time! Kitamba mita moja short enough to draw clients attention and long enough to cover essential parts! Picha yake anapigia toilet za guest house. Maisha ya ZARI yanamtoa roho.
B734BC78-0531-4F3C-9465-E4F2975CFE0A.jpeg
 
Kwa jinsi nilivyoona ni kama zari ndo amepanic!!....mange ka relax ana mchokonoa na zari kajaa!mange analicheza game vizuri sana!
Huu ndio ukweli. Zari kapanic sana. Yale matusi na kufutafuta videos ni ushahidi kwamba kashikwa pabaya.

Mange is a professional provoker. Anajua kufanya bullying. Sio jambo la kumsifia maana anaweza kusababisha msongo wa mawazo kwa victim, hata kifo..

Ila wote wamekutana vichwa maji na wanasumbuliwa na mid-age crisis. Wote. Tuwaombee!
 
MwanaHarakati huyu ana Wivu kwa Zari hadi kupitiliza. Oh Mara SAA ya Rolex imetoka kidude, Mara Gucci fake, nyumba so yako. Sijawahi ona nyumba ya Mange nadhani anaishi Ghetto za California. Kwa kuwa anaishi hata ya Baba Kenzo IG kusingekalika! Zari anawaliza wadada wa IG jamani! Zari amebarikiwa kwa kweli
Mwana harakati nae enzi zake alijua kuturusha roho blog yake alikuwa na show off kuliko zari lakin sasa hivi hana cha kushow off lazima aumie na maisha ya wengine kuona wana trend na vitu vya fake sijui vya kukodi kwa iyo tumuelewe tuu dada wa taifa
9603C66F-64E6-4F56-9F25-9FAB9A7FE801.jpeg
24943C06-36A3-4B44-AD5D-706432A852C9.jpeg
 
Naweza kuupata msambwanda wa zari kwa buku jero ? - anauliza Diamond
 
Huu ndio ukweli. Zari kapanic sana. Yale matusi na kufutafuta videos ni ushahidi kwamba kashikwa pabaya.

Mange is a professional provoker. Anajua kufanya bullying. Sio jambo la kumsifia maana anaweza kusababisha msongo wa mawazo kwa victim, hata kifo..

Ila wote wamekutana vichwa maji na wanasumbuliwa na mid-age crisis. Wote. Tuwaombee!
Ni kweli alikuwa ana mchokoza tuu makusudi ili zari apanic aanze kusema hii nyumba labda sio ya diamond labda walipanga au vinginevyo nafikiri zari hamjui mange vizuri kuwa ni mtu wa kupuuzwa na si wakumsilikiza na ni bingwa wa ku bully
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na cream za bei mbaya tuliringishiwa tukaambiwa mashauzi yanataka pesa na power of [emoji75][emoji75] ameolewa na mzungu kijana afu tajiri hawezi achwa kamwe na wana mpango wa kununua mansion few meters from Beverly Hills cha ajabu divorce yake alificha mwaka mzima wambeya wakamuumbua kuwa kaachika siku nyingi aache ku fake
Hivi hiyo blog yake ya mashauzi bado iko active?nataka nikasome mbwembwe zake
 
Ukimuuliza mange anagombea nini na zari hana jibu kabaki nyumba ya kaka[emoji23][emoji23][emoji23]kaka yupi,huyu huyu domo anayemdhalilishia mzazi kila kukicha aiseee
Haaahaaahaaa[emoji847][emoji847]
 
Mange anavaa Vijinguo vya makahaba wale wa short time! Kitamba mita moja short enough to draw clients attention and long enough to cover essential parts! Picha yake anapigia toilet za guest house. Maisha ya ZARI yanamtoa roho.

Lazima apanick, mtu kaachika, life limempiga, Hana mbele wala nyuma uko US, mwenzie zari kaachika ila bado Ana slay , naona walitaka kumuona zari akihangaika baada ya kuachana na domo, Ila ndo kwanza anazidi kushine, haters lazima wadate🤣🤣
 
Lazima apanick, mtu kaachika, life limempiga, Hana mbele wala nyuma uko US, mwenzie zari kaachika ila bado Ana slay , naona walitaka kumuona zari akihangaika baada ya kuachana na domo, Ila ndo kwanza anazidi kushine, haters lazima wadate🤣🤣
Uachwe na Mmarekani tena alikua mume wa ndoa na umezaa nae lazima upate child support na uhakika wa mahali pa kulala watoto.
 
Back
Top Bottom