Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

Nshawazoea Mimi halafu sinaga unaafiki Zari nilikua nampenda sana tu mambo yake ya ajabu yakafanya nimuone nae hamnazo
Hao mashabiki wake ni wale wenye chuki na watanzania !!!wanaoishu kwa kutegemea kudanga,wanaofikri maisha bila kudanga hutoboii!!!na akili lazima udange,ulalwe au kuishi mpk uwe tajiri au uwe na show off za ajabu ajabu
Hahahaha nakusoma tu unavyowakera na umejua kuwakera haswaa tangu juzi,,,, hahahaha we jembe sio kwa mashambulizi mengi vile

Mi nilishalipuuzaga hili bibi naona kubishana na mashabiki zake ni kupoteza muda tu
 
kujenga sio kazi rahisi chief, so wadada ukiwaambia nakupangishia au kukununulia nyumba unakuwa umejikusanyia point 3 muhimu akilini mwao alafu ndo unakula vzr pekupeku hawaogopi mimba kabsaa.

Mapenzi ni plans tu sioni diamond alipokwama,kama alimnunulia nyumba alafu mwanamke anacheat ndani ya nyumba yake(diamond) kumchafua ni haki yake kwakuwa ameshindwa kujiheshimu
Ahsante kaka kumbe mpo mnaojielewa!!
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]anapenda camera kuliko heshima
Shoga huogopi matusi mwenzio natukanwa balaa!! Shauri yako!utanuniwa na watu humu,utachambwa na utaitwa majina yote kisa tu kusema ukweli kuhusu Zari,mwenzio nshaozea matusi dear
Yote tisa kumi kwenye msiba wa mama yake yaani mwanamke utasema hajazaa macho makavu kwenye camera jitu nzima kupenda camera kuliko heshima yake
 
Usiseme wanaume sema makahaba ya kiume waliozoea kwenda kimboka...
Maana wanaume wa maana hayupo anaemtetea hata mmoja
Kujielewa na kwenda kimboka ni vitu vinaweza ambatana,

Vipi mwanaume anayejua anahitaji ngono tu, halafu anatongoza binti mwenye malengo, lakini haendagi kimboka!!!
 
Nshawazoea Mimi halafu sinaga unaafiki Zari nilikua nampenda sana tu mambo yake ya ajabu yakafanya nimuone nae hamnazo
Hao mashabiki wake ni wale wenye chuki na watanzania !!!wanaoishu kwa kutegemea kudanga,wanaofikri maisha bila kudanga hutoboii!!!na akili lazima udange,ulalwe au kuishi mpk uwe tajiri au uwe na show off za ajabu ajabu
Hahahaha nawasubiri na mapovu yao

Boss wao hana cha kujitetea!! Hii drama kafeli vibaya mno angekuwa amemove on asingehaha kupost madongo mitandaoni eti leo anamuita diamond 'domo' hehehehe mswahili tu halafu alivyo juha anapost na kufuta hahahaha misa alijua kumvuruga huyu bibi

Dawa ya mwanamke jeuri mchukulie bwana ake

Hizi zote ni side effect za hamisa mobeto
 
Kujielewa na kwenda kimboka ni vitu vinaweza ambatana,

Vipi mwanaume anayejua anahitaji ngono tu, halafu anatongoza binti mwenye malengo, lakini haendagi kimboka!!!
Huyo mwanaume atakua km dhamira yake ni ngono tu!anaejielewa atatulia kwa familia yake
 
Hahahaha nawasubiri na mapovu yao

Boss wao hana cha kujitetea!! Hii drama kafeli vibaya mno angekuwa amemove on asingehaha kupost madongo mitandaoni eti leo anamuita diamond 'domo' hehehehe mswahili tu halafu alivyo juha anapost na kufuta hahahaha misa alijua kumvuruga huyu bibi

Dawa ya mwanamke jeuri mchukulie bwana ake

Hizi zote ni side effect za hamisa mobeto
Hamisa tena[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mange si ndiye aliyeanzishaga slogan ya POWER OF NYAU mbona anashindwa kusema nyau wake kamletea nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha nawasubiri na mapovu yao

Boss wao hana cha kujitetea!! Hii drama kafeli vibaya mno angekuwa amemove on asingehaha kupost madongo mitandaoni eti leo anamuita diamond 'domo' hehehehe mswahili tu halafu alivyo juha anapost na kufuta hahahaha misa alijua kumvuruga huyu bibi

Dawa ya mwanamke jeuri mchukulie bwana ake

Hizi zote ni side effect za hamisa mobeto
[emoji3][emoji3][emoji16]alituita watanzania wagumba kisa kazaa...Hamisa kazaa kalia kanyamaza

Hapo mwanamke jeuri mchukulie mumewe unanikumbusha Milly na Mange,ugomvi wao!
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Kuishi fake life raha sana
58409981_515991532264940_7560293952448376846_n.jpg
 
Yan humu nimegundua watu baadhi ya wanawake wana envy maisha ya zari maana mpaka kukumbushiana habari za 2017 kweli zari kiboko. Nikiwa mkubwa nataka niwe kama zari [emoji4][emoji4][emoji4]

Miss POWER OF NYAU a.k.a cha uwongo ni mfa maji tu haishi kutapa tapa.
 
Ndo kiboko yake wakati ule alihisi bongo hamna wanawake ni yeye kaja kuokoa jahazi hahahahaha tukio la hamisa kuzaa na bwana ake ni donda ndugu kwake na litamuumiza sana na baado
[emoji3][emoji3][emoji16]alituita watanzania wagumba kisa kazaa...Hamisa kazaa kalia kanyamaza

Hapo mwanamke jeuri mchukulie mumewe unanikumbusha Milly na Mange,ugomvi wao!
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom