Zari Amvaa Mange Kimambi..

Ahsante umemaliza kila kitu!
 
Malipo hapa hapa duniani alimtukana sana Hamisa akihisi yeye daimond hatomgusa alikuja hajui diamond ni nani...

Mwisho wa siku aibu imemkuta anatukana hovyo na ana watoto kibao halafu eti ni CEO my foot!!!

Zari anatamani kuolewa sana ila bado Mungu hajampa bado ndo maana bwana wa siku 2 anamuita hubby!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi sinaga ushabiki wa kijinga Yule mama ni mdangaji kama wengine though hawataki kukubali ukweli!!

Diamond amemuweka nafasi yake analia lia hovyooo!!!
Angekaa kimya ingekuaje kwani!
 
Jamanii io video ipo wapii yan mi kila video siion ile ya buryani hd leo cjaiona na hii nayo khaaaa
 
Upweke mbaya sanaa...kuna mda sio siri watu wanatamani kuitwa Mrs Fulani ukifika huo bado hujaitwa utapata depression sisi waafrica bila ndoa hujakamlilka bado..

Zari anafake maisha Ndo maana anahaha kutafuta vitoto anavivulia chupi!! Yule angekua Ulaya angeolewa maana kule hawajali hayo mambo hata ile porn video yake ila kiafrica Africa bado sanaa yaani suala la kuolewa aliweka pending labda aoe kitoto rika la kina Pinto

Mange hana cha kupoteza hapa duniani alishaolewa akaachika alishapata aibu zote hana mda...
Bosslady anabishana na makapuku hahaha what a shame!!? tena anatoa matusi mazito mazito, na alivyochizika sasa anajinunulia maua kisha anasema kanunuliwa jamani upweke mbaya we acha tu.
 
Angalau leo nimejua jinsia yako mkuu
 
Hahahaaaa....Mjini kutamu Wanasemaga malipo ni hapa hapa kwenye sosho midia
Rangi zake zote tumeziona, kila mtu ni wife material kama hajavurugwa, akubali akatae side effect za low life hamisa zitamuumiza mpaka mwisho wake
 
Hana nyumba bwana wewee warumi amehifadhiwa kwa sababu ya tiffah...!!!pale yule hana tofauti na mlinzi analinda tu nyumba mwenye nyumba yupoo!!!diamond aka Nasib Abdul!
 
Mangi anajua kuandika tu hajui chochote halafu ukiangalia hawezi kuongea so mtu akitaka kumkomesha aende majuu na bendi ya umbeya wa mchambe hana lolote huwa ni laptop tu na bando ndio anayo.
 
Ana kila kitu kama anavyojinasibu lakini kakosa kitu kimoja tu 'Furaha', amekuja kurealize wote wanaompa mapesa wanamtumia tu kisha haooo wanarudi kwa familia zao ndio maana muda wote mkali mkali tu, depression hiyo na Mange kamshika pabaya akiendelea kumuandama asije aka commit a suicide jamani.

Mange yule ni mwehu kujibizana nae anaonekana yeye ndie mwendawazimu sasa.
 
Hana nyumba bwana wewee warumi amehifadhiwa kwa sababu ya tiffah...!!!pale yule hana tofauti na mlinzi analinda tu nyumba mwenye nyumba yupoo!!!diamond aka Nasib Abdul!
Basi ana akili sana,kuliko hata huyo diamond mwenyewe,

Na kama swala ni diamond kumuachia nyumba kila anaye zaa naye hamisa anafeli wapi!!!!

Haya mambo haya......
 
Diamond kaongea aliyoona yanafaa kwa wakati huu.

Wengine wanaongea kama nani, mawifi, washauli, wanasheria, wapambe au walezi wa ndoa!!!

Binafsi naona alichojibu zali ni cha maana sana, yafaa sasa kila mtu ajitetee kwa silaha anayoiona mbele yake. **** yake imempa nyumba ya kuishi na magari ya kifahari, hayo ya stress na upweke mnayasema nyinyi, si anagongwa kila siku???
 
Kugongwa ndio kua na furaha, that woman yupo depressed hilo liko wazi na kama mnampenda mtu mnatakiwa mumjue kwenya raha na shida,

Alitoka kwa Ivan kwasababu ya vipigo(kama ni kweli)hakumuoa bali walizaa, akaranda randa kwa waume za watu mara vuuup akadondokea kwa kivulana akajua atamcontrol matokeo yake kivulana damu inachemka akawa anagawa kwa visichana pia familia ya huyo mvulana ipo strong, akaishiwa kuzalishwa na kuachwa kimafia yaan alipotezewa akawa hajijui kama yupo kwenye mahusiano au vipi hadi alipoamua kumwaga manyanga, kadanga danga wee mara Dubai mara Ug hakuna wa kumvisha pete wala kutangaza ndoa, kaamua awe anajinunulia maua na kusema amenunuliwa na bae hahaha very sad.

Utakua na kila kitu maishani ila kama una upweke lazima uchizike.
 
Halafu ukumbuke maisha yao wameamua kuyaweka kwenye mitandao so ni lazima waongelewe na kila mtu, mbona hatujawahi kusikia kesi za Nancy Sumari na mumewe? au Faraja Kota na mumewe? wana magumu yao lakini wanayamaliza wenyewe sasa wao kila kitu mitandaoni ulitakaje?
 
Ilikuwa swala la muda tu yako wapi sasa!!! Kila kitu kimemwagika wambea tumefaidi
 
Mtu kuweka kitu mtandaoni hana maana anataka umuamlie.

Ndio maana amejibu kilicho uhalisia, lakini sababu wengi wenu/wetu hatupendi hilo, wanagawa nunu bila mahesabu , mapovu kibao.

Leo hii mtu anaizungumizia nyumba ya diamond, utadhani kabla ya hapo zari alikuwa akiishi pangoni, hatujui ni nani alimshawishi dai anunue nyumba south, kwanini?? Na ilikuwaje dai akawa msikivu tu!!!

Haya mambo hata zari aliishawahi kuandika, kama tungejua ukweli wa mambo ingeleta shida, but sababu yeye amempenda dai(na dai amekili hilo), ilikuwa basi wacha tufurahi tu.
 
Mm nilimuonaga zamani uyu mama kua hajiheshimu wala sio kama watu wanavyomdhani
Tangu achukue mavideo ya nusu uchi chooni na diamond, mama ake kafa kaenda mombasa na bwana ake kabla ya 40
Alinichoshaga kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…