Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari Amvaa Mange Kimambi..

Zari anahangaisha wengi jamani. Ee KAMA KUFAKE RAHISI HEBU NA NYIE FANYENI HIVYO TUWAONE. MNALIA LIA MTU MWENYEWE MMEMKUTA LIFE YAKE HIO MIAKA NENDA RUDI.

MNATAMANI HATA MUMNYANGANYE WATOTO KWA KISINGIZIO SIO WAKE BALI ALI FAKE MIMBA aiseeee
Mimi nashangaa sana wadada wa kibongo, zari goodlife hajakutana nayo madale, kwanza hakuna goodlife pale.
 
Wana shobo na maisha ya zari kila akifanyacho wanakijua halafu wana act wanamchukia. Kwanza Zari ndo kawafundisha kuslay,vilikuwaga vishambaaa vikiiga mikorogo michafu ya mange,eti obag
Mimi nashangaa sana wadada wa kibongo, zari goodlife hajakutana nayo madale, kwanza hakuna goodlife pale.
 
Nini tununu hakuna slay queen wa kibongo aliyehongwa nyumba ya maana vinapangishiwa vinachezewa weee mwisho wa siku kodi imeisha vinatupwa kuleee
Kwani dada yetu tununu anafeli wapi?? Nyumba za mill 60 zipo achama na ile ya 450ml ya south, yeye si apewe hiyo kwa ajiri ya mtoto!!!
 
Kwani dada yetu tununu anafeli wapi?? Nyumba za mill 60 zipo achama na ile ya 450ml ya south, yeye si apewe hiyo kwa ajiri ya mtoto!!!

So ndo apo sasa , badala ya kuhangaika na ndugu yao ajengewe hata banda , wenyewe wanahangaika na zari , who doesn't want maisha ya zari jaman kusema tu ukweli , maana kuhongwa nako kipaji, Tena kuhongwa jumba kama la zari ***** watu lazima wapagawe
 
Nini tununu hakuna slay queen wa kibongo aliyehongwa nyumba ya maana vinapangishiwa vinachezewa weee mwisho wa siku kodi imeisha vinatupwa kuleee
Ni ukweli mchuku bro hana hela tunazoaminishwa hapa mbagala, nakumbuka zawadi ya dada kupewa toyota porte.
 
Halafu ukumbuke maisha yao wameamua kuyaweka kwenye mitandao so ni lazima waongelewe na kila mtu, mbona hatujawahi kusikia kesi za Nancy Sumari na mumewe? au Faraja Kota na mumewe? wana magumu yao lakini wanayamaliza wenyewe sasa wao kila kitu mitandaoni ulitakaje?
Una hekima na akili we Dada mnooo!!nakupendaga sana
 
So ndo apo sasa , badala ya kuhangaika na ndugu yao ajengewe hata banda , wenyewe wanahangaika na zari , who doesn't want maisha ya zari jaman kusema tu ukweli , maana kuhongwa nako kipaji, Tena kuhongwa jumba kama la zari ***** watu lazima wapagawe
Eti ooh anakodisha magari, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kukodi range hapa bongo kwa matumizi ya masaa sita tu ni laki 3,sijui ferali itakiwa pesa ngali!!!
 
Bro yupo kama kanumba enzi zile tuliaminishwa ana mahela,nyumba za kumwaga. Mwisho wa siku hata kibaraza hana. Bado zawad ya wema used car kumbe imekodiwa sehemu.
Ni ukweli mchuku bro hana hela tunazoaminishwa hapa mbagala, nakumbuka zawadi ya dada kupewa toyota porte.
 
Bro yupo kama kanumba enzi zile tuliaminishwa ana mahela,nyumba za kumwaga. Mwisho wa siku hata kibaraza hana. Bado zawad ya wema used car kumbe imekodiwa sehemu.
Ni upumbavu sana, sijui mwisho wake iweje[emoji16][emoji16].

Nadhani hata tununu, aliingia kichwa kichwa akijua uongo mbaya, kumbe ohoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Exactly unachosema angekaa kimya kama fans tayari anao sasa angekua busy na maisha yake...show off angeachana Nazo..maana yeye ndo anadhalilika Leo mange ameweka utupu wa Zari tena mtandaoni aibu tupu

Zari amuige Huddah au Vera Sidika wameshakua maarufu sasa wanatengeneza pesa kupitia majina yao!!

Zari hana biashara yoyote zaidi ya Chuo ambacho ukute sio chake na mambo vyuo huagani na wateja..

Atulie ana watoto hata wazungu hawako hvyo...!!!

Watoto wa5 bado unashindana na kina Mange ambao hawana cha kupoteza utaumia tu!!

Huddah na Vera ndo real bossladies hata kama wanadanga lakini wana biashara zinaonekana
Ana kila kitu kama anavyojinasibu lakini kakosa kitu kimoja tu 'Furaha', amekuja kurealize wote wanaompa mapesa wanamtumia tu kisha haooo wanarudi kwa familia zao ndio maana muda wote mkali mkali tu, depression hiyo na Mange kamshika pabaya akiendelea kumuandama asije aka commit a suicide jamani.

Mange yule ni mwehu kujibizana nae anaonekana yeye ndie mwendawazimu sasa.
 
Basi ana akili sana,kuliko hata huyo diamond mwenyewe,

Na kama swala ni diamond kumuachia nyumba kila anaye zaa naye hamisa anafeli wapi!!!!

Haya mambo haya......
Amempa akae na wanawe hawezi mtoa kirahisi atakua sio muungwana...!!!

Suala la muda tu kila kitu kitakaa sawa
 
Tununu mjinga akiona kuna mahusiano sehemu kisha bwana kahonga nyumba kama zawadi kwa baby mama nae anajipachika hapo akidhan atahongwa nyumba pia.

Bado sinema inaendelea uhai muhimu kuishuhudia telemundo
Ni upumbavu sana, sijui mwisho wake iweje[emoji16][emoji16].

Nadhani hata tununu, aliingia kichwa kichwa akijua uongo mbaya, kumbe ohoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Diamond kaongea aliyoona yanafaa kwa wakati huu.

Wengine wanaongea kama nani, mawifi, washauli, wanasheria, wapambe au walezi wa ndoa!!!

Binafsi naona alichojibu zali ni cha maana sana, yafaa sasa kila mtu ajitetee kwa silaha anayoiona mbele yake. **** yake imempa nyumba ya kuishi na magari ya kifahari, hayo ya stress na upweke mnayasema nyinyi, si anagongwa kila siku???
Angekua hana stress asingekua anaota hawara mume within two days za mahusiano...tujifunze kua realistic jamani tusiishi kwa kujipa moyo

Zari anatamani kuolewa ila hajapata wa kumuoa kama kila kitu kapata except marriage hicho ndicho kinachomfanya ang'ang'ane na vitoto ambavyo havijaoa akiamini vitamuoa!!!
 
Angekua hana stress asingekua anaota hawara mume within two days za mahusiano...tujifunze kua realistic jamani tusiishi kwa kujipa moyo

Zari anatamani kuolewa ila hajapata wa kumuoa kama kila kitu kapata except marriage hicho ndicho kinachomfanya ang'ang'ane na vitoto ambavyo havijaoa akiamini vitamuoa!!!
Kwahiyo kumbe shida ni kutovaa shera, sio kuachwa na diamond tena!!!
 
Back
Top Bottom