Kumvisha mtoto hirizi ni ujinga mkubwa kwani hivyo vitu vilifanywa na watu wa zamani kwa kutofahamu lkn sasa hivi mtu huwezi kumvisha huo uchafu mtoto wako ni sawa na kumkabizi shetani mtoto wako.
Big up Zari.
Je kumvalisha roazari...!?...
Diamond mshirikina kiama, mwenye baba kamvua mwanae uchawi
Wewe ndio huna akili, huwezi hirizi kuiita kitambaa, mchawi mkubwa wewe.Sijui kama watu humu wameshirikisha akili zao kulijadili, ila hiko hivii kile kitambaa kavishwa na mama yake DIAMOND a.k.a Bibi Tiffah na ni katika kanuni zao huwa kila mtt anayezaliwa anavishwa hadi akitimiza miezi 2 na yule Tiffah keshatimiza miezi 2 ndo mana Zari kamvua si kwa maamuzi yake ila muda wake wa kukivaa kile kitambaa umeshakwisha na si vinginevyo huu ndo ukweli. Bahati mbaya tu picha za Bibi wa Bibi wa Bibi wa DIAMOND na Mama wa DIAMOND za miezi miwili hazipo nao mungewaona wameveshwa hiyo kitu.
Kusoma hujui hata picha huoni
Rozari zinafaa kwa kuwa ni product ya muzungu teh teh teh
Hivi warumi ni mwanaume au mwanamke?maana hizi story zake huwa zimekaa kishambenga shambenga tu.
Hivi warumi ni mwanaume au mwanamke?maana hizi story zake huwa zimekaa kishambenga shambenga tu.
Wewe unaonaje?
Siwezi mvalisha mtoto hayo madubwasha