Zari amvua hirizi Tiffah

Zari amvua hirizi Tiffah

Kumvisha mtoto hirizi ni ujinga mkubwa kwani hivyo vitu vilifanywa na watu wa zamani kwa kutofahamu lkn sasa hivi mtu huwezi kumvisha huo uchafu mtoto wako ni sawa na kumkabizi shetani mtoto wako.

Big up Zari.

Je kumvalisha roazari...!?...
 
Sijui kama watu humu wameshirikisha akili zao kulijadili, ila hiko hivii kile kitambaa kavishwa na mama yake DIAMOND a.k.a Bibi Tiffah na ni katika kanuni zao huwa kila mtt anayezaliwa anavishwa hadi akitimiza miezi 2 na yule Tiffah keshatimiza miezi 2 ndo mana Zari kamvua si kwa maamuzi yake ila muda wake wa kukivaa kile kitambaa umeshakwisha na si vinginevyo huu ndo ukweli. Bahati mbaya tu picha za Bibi wa Bibi wa Bibi wa DIAMOND na Mama wa DIAMOND za miezi miwili hazipo nao mungewaona wameveshwa hiyo kitu.
Wewe ndio huna akili, huwezi hirizi kuiita kitambaa, mchawi mkubwa wewe.
 
Kusoma hujui hata picha huoni

Zari kujua kuwakomesha wadai DNA yani kafanya kumfotokopi diamond, af kishatoa na tamko so on atazaa mwingine yani matumbo hayajapoa analianzisha tena uwiiiiii tutakoma tutajuta kuwafahamu
 
Hivi warumi ni mwanaume au mwanamke?maana hizi story zake huwa zimekaa kishambenga shambenga tu.
 
Inamaana exposure yoote diamond aliyopata imeshidwa kumuondolea mawazo ya ki_primitive, kama mtoto anavalishwa hirizi hadharani sijui uko sirini baba ana ngapi.
 
Ni ushirikina kumvalisha mtoto hirizi, kama Mungu aliweza kumlinda tumboni miezi9 atashindwa kumlinda duniani? Huyo mamake diamond naye anaonekana kakaa kidunia zaidi, ibada zinampitia kando hata habari hana.
 
Ni ushirikina kumvalisha mtoto hirizi, kama Mungu aliweza kumlinda tumboni miezi9 atashindwa kumlinda duniani? Huyo mamake diamond naye anaonekana kakaa kidunia zaidi, ibada zinampitia kando hata habari hana.

Ushirikina au uchawi kabisa
 
Back
Top Bottom