el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Kumvisha mtoto hirizi ni ujinga mkubwa kwani hivyo vitu vilifanywa na watu wa zamani kwa kutofahamu lkn sasa hivi mtu huwezi kumvisha huo uchafu mtoto wako ni sawa na kumkabizi shetani mtoto wako.
Big up Zari.
Je kumvalisha roazari...!?...