Zari anaposema tatizo ni Diamond, hii ndio maana yake

Zari anaposema tatizo ni Diamond, hii ndio maana yake

Wakati Kiba anafurahi kusainiwa label ya kimataifa. Diamond anapambana kuipeleka label yake kuwa ya kimataifa

Dah! Dongo baya kweli hili
 
Mkuu nakufagilia sana umeongea pointi, sasa mwalimu wangu mimi nina swali dogo tu, hao uliowataja hapo kwenye red umewapima kwa vigezo vipi yaani uniambia wamefanya hiki na kile na kile na kile ....................... ( unitajie vigezo vinavyotumika kimataifa vya kupima wasanii "MSANII ALIYE JUU YA MWENGINE/ WENGINE" na kwa vile umesema unaujua sana huu muziki bila shaka hata vipimo vya kimataifa unavijua. ) Maana kama ni kusema tu hata mimi naweza kusema kuwa Harmonize yuko juu ya Kiba, ila ukiniuliza kwa vigezo gani ndio natakiwa niviainishe sasa wewe mkufunzi wangu hebu nisaidie kwa hili.
UNATAKA VIGEZO AU UNATAKA KUIFAHAMU BONGO FLAVA
 
Anaemponda diamond ujue kuna mawili 1.hafahamu muziki ni nini
2.chukiiiiiiiiiiiiiiii na hii wamo wengi hasa wanaume wa dar na wanawake wa dar
 
Ngoma zake kila kona zinapigwa ulimwenguni mpaka club za marekani lazima hlf mnasema nini hapa tatizo mnatoka huko kwenu mbagala mnaishia k/koo jioni mnarudi makwenu mumeishilia hapo
 
Naamini wcb itawasajili wengi sana miaka inayokuja mtanyoooka tu! Jisimamie mwenyewe kwa juhudi zako sio usimamiwe halafu unatuambia wewe ni king khaaaa!!!!
 
Kwani kafanya kosa gani hadi wanachukia hivo? Ila jeuri ya maskini ni hiyo ya kulaumu Na kusema uongo pale mwingine akifanikiwa. Utasikia katumia madawa au Freemason
 
Watu wengi wanashindwa kumuelewa Zari anaposema tatizo ni Chibu yani Diamond.

Ali Kiba akitoa wimbo mashabiki wake wanakimbilia kwenye page za Diamond au watu wa karibu yake kulazimisha wausapoti uwezi kuwaona kwa wasio mhusu.

Diamond akipata dili ya tangazo wanaibuka watetezi feki wa haki za wanawake na kulia kwa uchungu kwa nini apewe tangazo ilihali anadhalilisha wanawake! Ukiuliza kamdhalilisha nani? Watakwambia Wema. Kivipi? Hakuna majibu ya msingi.


Tuzo zikitangazwa duniani kote lisipokuwepo jina la Diamond zinapita kimya kimya.. Likiwepo jina lake inaanzishwa kampeni kumpigia kura mnaijeria yoyote ili kumpa upinzani Chibu.

Diamond akisaidia wasanii wachanga kwao sio habari nzuri. Diamond akijenga msikiti kwao sio habari nzuri. Diamond akisaidia mashuleni kwao sio habari nzuri.. Diamond akifanya wimbo na mnaijeria na akitolea video south Africa.. Utasikia sioni kwa nini wasanii wanakimbilia kufanya video nje, mara muziki wetu unakuwa wa kinaijeria.. Kesho nao unasikia wamepanda ndege kufanyia video South Africa au wanafurahi wamepata collabo na mnaijeria.. Kwa Diamond muziki unakufa, wao wakivuka boda muziki unakuwa.

Lazima tukubali Diamond kwa sasa ndio daraja letu la kuivusha bongo fleva.. Wapo wasanii wamefanya makubwa kuufikisha huu muziki hapa kina Prof J, AY, Sugu nk lakini kiukweli Diamond amekuja kufanya mapinduzi makubwa mno. Kuna watu walifanya harakati nyingi kuubadili muziki umlipe zaidi msanii wengine waliishia kutukana matusi na ubabe ila Diamond katumia njia za kisayansi kuibadili game yetu na kiukweli game kaibadili mno ata km atupendi kukubali hili. Vitu wanavyofanya na njia wanazopita sasa yeye ametoka huko miaka 4 iliyopita.

Wakati Kiba anafurahi kusainiwa label ya kimataifa. Diamond anapambana kuipeleka label yake kuwa ya kimataifa, baada ya miaka mitatu wengi ndio mtaelewa tofauti ya Chibu na wengine.

Mtamchukia Tiffa, Zari, Babu Tale, Sallam, Fella, Kifesi lakini awa ni kafara tu ishu hapa ni Diamond. Awa wangekuwa mtaani huko awausiki na mafanikio ya Diamond wasingekuwa tatizo.

Ata ugomvi wa kifamilia kati ya Esma, mama Diamond na Zari ishu sio Zari anajisikia ishu ni Diamond kashindwa kubalansi upendo, upendo umeelemea kwa Zari na Tiffa.. Mama na dada wanaona ule umiliki wa imaya unapungua siunajua tena mambo yetu waswahili kukaba ata kama mtu kashaanza maisha ya familia . Kwa hiyo jamani kelele zooote tatizo ni Chibu.

mambo ya wakaka na wadada wa Dar es Salaam haya!
 
Watu wengi wanashindwa kumuelewa Zari anaposema tatizo ni Chibu yani Diamond.

Ali Kiba akitoa wimbo mashabiki wake wanakimbilia kwenye page za Diamond au watu wa karibu yake kulazimisha wausapoti uwezi kuwaona kwa wasio mhusu.

Diamond akipata dili ya tangazo wanaibuka watetezi feki wa haki za wanawake na kulia kwa uchungu kwa nini apewe tangazo ilihali anadhalilisha wanawake! Ukiuliza kamdhalilisha nani? Watakwambia Wema. Kivipi? Hakuna majibu ya msingi.


Tuzo zikitangazwa duniani kote lisipokuwepo jina la Diamond zinapita kimya kimya.. Likiwepo jina lake inaanzishwa kampeni kumpigia kura mnaijeria yoyote ili kumpa upinzani Chibu.

Diamond akisaidia wasanii wachanga kwao sio habari nzuri. Diamond akijenga msikiti kwao sio habari nzuri. Diamond akisaidia mashuleni kwao sio habari nzuri.. Diamond akifanya wimbo na mnaijeria na akitolea video south Africa.. Utasikia sioni kwa nini wasanii wanakimbilia kufanya video nje, mara muziki wetu unakuwa wa kinaijeria.. Kesho nao unasikia wamepanda ndege kufanyia video South Africa au wanafurahi wamepata collabo na mnaijeria.. Kwa Diamond muziki unakufa, wao wakivuka boda muziki unakuwa.

Lazima tukubali Diamond kwa sasa ndio daraja letu la kuivusha bongo fleva.. Wapo wasanii wamefanya makubwa kuufikisha huu muziki hapa kina Prof J, AY, Sugu nk lakini kiukweli Diamond amekuja kufanya mapinduzi makubwa mno. Kuna watu walifanya harakati nyingi kuubadili muziki umlipe zaidi msanii wengine waliishia kutukana matusi na ubabe ila Diamond katumia njia za kisayansi kuibadili game yetu na kiukweli game kaibadili mno ata km atupendi kukubali hili. Vitu wanavyofanya na njia wanazopita sasa yeye ametoka huko miaka 4 iliyopita.

Wakati Kiba anafurahi kusainiwa label ya kimataifa. Diamond anapambana kuipeleka label yake kuwa ya kimataifa, baada ya miaka mitatu wengi ndio mtaelewa tofauti ya Chibu na wengine.

Mtamchukia Tiffa, Zari, Babu Tale, Sallam, Fella, Kifesi lakini awa ni kafara tu ishu hapa ni Diamond. Awa wangekuwa mtaani huko awausiki na mafanikio ya Diamond wasingekuwa tatizo.

Ata ugomvi wa kifamilia kati ya Esma, mama Diamond na Zari ishu sio Zari anajisikia ishu ni Diamond kashindwa kubalansi upendo, upendo umeelemea kwa Zari na Tiffa.. Mama na dada wanaona ule umiliki wa imaya unapungua siunajua tena mambo yetu waswahili kukaba ata kama mtu kashaanza maisha ya familia . Kwa hiyo jamani kelele zooote tatizo ni Chibu.
kama tungelikuwa hatujaathiliwa na u team na bifu za kishamba tuka baki kwenye ukweli nahic haya yote yasinge kuwepo kuna maswal mtu analeta unaz kisa flan si mpend mfano utasikia diamond na alikiba yanga na simba sahiv utaskia clouds na efm waelewa toeni ushabiki husio leta tija
 
Mimi muziki ninaousikia kwenye radio stations za South Africa ni wa Diamond pekee na siku hizi Vanessa. Aseme nani mwingine kapenya nje kama awa wawili.
usiubiri uongo mkuu ngoma za A.Y,Jide,Baraka na Ali Kiba zinapingwa vya kutosha hapa bondeni
 
kiki gani ipo njema nataka nitoke wasafi niande kwa kiba nyoooooooooooooo
 
sijasema namchukia diamond, ila uzembe wenu wa kumuona diamond mkubwa na kumtukuza ndo vitu vinaniboa mimi ninaeujua mziki huu kabla ya diamond, kama unaujua na kuufatilia mzk huu hutabishana na mimi, kuna watu wame cross border na kuitangaza tz zaid ya huyu jamaa labda kipind hcho hamkuwa na hata radio,
......labda kipindi hicho hamkuwa na radio.

Baba kwa dongo hilo lazima kijam awe mdogo tu...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji106]
 
Back
Top Bottom