Aaah, nakumbuka binamu.... PM siku hizi sipati notification kabisa sijui kwa nini, nikitoka kifungoni nitacheki binamu... Mwenzangu nimeona mpaka nisubir ban iishe nitaumwa jinsi ninavyopenda umbeaUmejua kunichekesha wallah,unakumbuka kuna kipindi tulicheka sana ulisema yaan majiran wamekuchoka kwa umbea ,kusutwa kwako kawaidaa ,huna kifua kabisaa halaf pm kwako nilikutumia kitu hujanicheki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah!Nshachoka mie, umbea wangu mwenyewe niogope watu, Mbea toka lini akajua kuweka siri moyoni, hao ma mods watajiju kwani dhambi ndo nsharudi na ID mpya
Sasa binam we kutukanwa kdogo tu ushajibu huyoo uwe unawaacha sawaa yaan bado hujazoea tuAaah, nakumbuka binamu.... PM siku hizi sipati notification kabisa sijui kwa nini, nikitoka kifungoni nitacheki binamu... Mwenzangu nimeona mpaka nisubir ban iishe nitaumwa jinsi ninavyopenda umbea
Hivi Wema alishafanikiwa nini?Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah!Nshachoka mie, umbea wangu mwenyewe niogope watu, Mbea toka lini akajua kuweka siri moyoni, hao ma mods watajiju kwani dhambi ndo nsharudi na ID mpya
Hapo sasa,kama kuzaa hata kuku ana watoto [emoji108]nyaku ni nani kwanza wakati hana hati miliki?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Pole binamu,nimeona sehemu umekuwa banned.Binamu mimi warumi nshachoka mie kujificha
Kwani wema anafamilia ?Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Ni inbox natafuta mkeHivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Hivi Wema alishafanikiwa nini?
Kwa sababu na yeye hunyakuliwaga.how do you feel kuadmit mbele za watu kuwa your man hatoshekagi mpaka ananyakuliwaga?
au
au you cant handle him well,kwa hiyo nyaku time is available ?
Kuwa Miss Tanzania hayo hayakuwa mafanikio?Kujiunga CHADEMA....
Wewe uliwahi kufanikiwa nini zaidi ya kushinda JF tu?Hivi Wema alishafanikiwa nini?
Depends on your standpoint...Kuwa Miss Tanzania hayo hayakuwa mafanikio?
sema warumi majina kama haya(mfano hilo jina galton) ya kiume huwa yanawachanganya members wengi humu ndio maana wengi wanahisi wewe ni me .Binamu mimi warumi nshachoka mie kujificha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nshachoka mie, umbea wangu mwenyewe niogope watu, Mbea toka lini akajua kuweka siri moyoni, hao ma mods watajiju kwani dhambi ndo nsharudi na ID mpya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaah!Umejua kunichekesha wallah,unakumbuka kuna kipindi tulicheka sana ulisema yaan majiran wamekuchoka kwa umbea ,kusutwa kwako kawaidaa ,huna kifua kabisaa halaf pm kwako nilikutumia kitu hujanicheki
What is Nyakuz?Hivi mbona Wema hakuwa na huu ujinga jamani?
Huyu bibi ana inferiority complex,sio kwa kutokujiamini huku.
Bibi Zari,najua huwa unapita huku...deal with your man,achana na habari za nyakuz.
Wanawake tunaojiamini hatudeal na nyakuz bwana,alaaaah.
Hiv why mnamuita kijana Wa watu domo kwan huo mdomo kajiwekea mwenyewe halafu unakuta huna hata mtt umekazana domo domooo mwenyewe labda una pua imesambaa mpaka mashavuni..ww nan wa kukosoa kaz ya Mungu nenda umuwekee mdomo mdomo basi.. Mtu hujazaa kelele mingiiiii siku ukizaa halafu watu wamuabuse mtt wako na mapungufu aliyonayo mwilini ndo utajisomaWanachepuka akina jay z sembuse domo