Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
MNA uhakika mimba ni ya chibu?
Wewe uhakika ulio nao ni mimba ya nani? Na umejuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MNA uhakika mimba ni ya chibu?
ha ha ha mi najiuliza hivi Nuhu mziwanda ilikuaje mpk akamuacha shilole afanye huu ujinga maana walienda wote huko belgium!!
Halafu utakuta huyu ni mwanaume na akili zake.
Unawaza yasio kuhusu. Mmu ningekuwa raisi ningetembea na viboko. Kuna vijana wajinga sana mtaani aise
Wewe uhakika ulio nao ni mimba ya nani? Na umejuaje?
Kula kulala hawezi kuwa na kauli wala maamuzi ndani ya nyumba, kwanza hiyo safari ya kudandia kwake ni mafanikio.
Umejuaje kuwa atalia mda si mrefu?
Labda na yy n Kanabii Kadogo
Sijui amekula maharage ya wapi huyu
Labda aisee au amekua shekhe Yahaya.
Mimba ya katunzi mkuu na sio Dai.
Kwa mfano sasa we ulitakaje ndo ivo sasa ye kashaamua kumzalia ikikuuma kunywa tindikali ufe ili usione maisha yao....
"Unajipunguzia siku za kuishi kuchukia watu na maisha yao badala uwaze we utakuja kua na nani na utamzalia lini au kama tayari mtafanikiwaje waza wenzio"
MNA uhakika mimba ni ya chibu?