Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mnamfananisha Zari na hawa madada team ushuzi, sioni star wa kibongo wa kufanana na Zari kuanzia family kipato hadi kujielewa.
Zari ana watoto watatu anajua anachokifanya, ni mtu mzima anaejielewa ndio maana hata Diamond skendo zimepungua na kina team mama ubaya.
Tuendelee kuwajadili akina Shishi na Mziwanda Zari ni another level, sio hao wanaotumika na shigongo kuuza magazeti bila kujielewa.
Zari kuhojiwa tu Mawingu nchi ilisimama.........!
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto
Nyie ndo mnaemkosesha amani mama kijacho wa watu huko insta
wee jamaa nambie ntakufa lini mimi?Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto