Zari atajuta kuzaa na Diamond, Diamond hajatulia bado anapepea

Zari atajuta kuzaa na Diamond, Diamond hajatulia bado anapepea

Tatizo mnamfananisha Zari na hawa madada team ushuzi, sioni star wa kibongo wa kufanana na Zari kuanzia family kipato hadi kujielewa.

Zari ana watoto watatu anajua anachokifanya, ni mtu mzima anaejielewa ndio maana hata Diamond skendo zimepungua na kina team mama ubaya.

Tuendelee kuwajadili akina Shishi na Mziwanda Zari ni another level, sio hao wanaotumika na shigongo kuuza magazeti bila kujielewa.

Zari kuhojiwa tu Mawingu nchi ilisimama.........!

Umeona eeh?? Zari kiboko yule
 
Mleta uzi ni KE au ME?

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Nyie ndo mnaemkosesha amani mama kijacho wa watu huko insta
 

Attachments

  • 1432240234008.jpg
    1432240234008.jpg
    16.9 KB · Views: 576
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto




ndo maana unaitwa kinembe
 
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto

Ya mtu muachie mtu
 
Capture.PNG

Acha wafu wawazike wafu wenzao....( oooppps!!!!sorry imejipost.....)
 
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto

Basi za nae wewe.
 
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu wa kutosha kufikia hatua ya Kuwa mme NA baba wa mtoto
wee jamaa nambie ntakufa lini mimi?
 
Maisha ni ya Diamond mwenyewe na Zari wake,kwanini unataka wakuogope wewe kwa manenoyako haya ya kijinga?
 
Huyu alipoleta huu miaka miwili iliyoisha aliona kila rangi tusi sasa wakuu mko wapi wengine mje mmuombe msamaha.
 
Back
Top Bottom