Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Sasa ndio wakati bwana chimbundee atajua greedness ya yule mwanamke.
South alichoacha asahau kusalimia anakaribishwa au ataletewa watoto.
 
View attachment 695821 Uzuri na tabia yake atafika mbali sana huyu mama!
Beauty is power, alafu she is smart, lethal combination of success and beyond!
YAANI NI MZURI SANA HUYU MWANAMKE TUACHE UTANI JAMANI!
May the Almighty Creators grant you peace!
Wanaume wengi afrika walikuwa wakiyangoja Diamond atoke tuu
 
OH Zari i sympathize with you. Just call my name and I will be there. No kidding.
 
Zari akapumzike tu,huyo Nillan mwenyewe sio wetu,mtoto Ivan mtupu mpaka matege!!!!anaona aibuuu,diamond ametua mzigo mzito nyie Leo hamjui tu... Chibu alishamchoka zari
 
what does it mean?
 
Mi nawasikitia tu wale watoto..maana kulelewa baba na mama wakiwa wametengana ni mtihani mkubwa.
DNA iko wapi? Usikute marehemu alipiga sign kote huko . Dogo wa tandale km aliacha makabrasha na mikataba pale kaumia. Km huyo mwanamke kaweza cheza na akili za kina King lawrence na kubeba kila kitu cha Ivan, tungoje next move.
Atalia mtu sasa hìvi .bosslady matako ya nyani
 
Utasikia Da Mange anasema kuwa alikuwa na taarifa hii toka mwaka jana sema hakutaka kusema.Da mange si wa mchezo.....

Huyo mange nae anamponda mwenzie wakati yeye mama wa nyumbani anaishi kwa child support, Mange is a very bitter woman japo mchambuzi mzuri wa siasa. Bitter women wana maisha ya huzuni siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…