Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mtaanguka nyieAnguko la DAI linakuja ......!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaanguka nyieAnguko la DAI linakuja ......!!
Hata mm ninefurahi sana, limwanaume halitulii khaaaaTeh nlikua naisubiri hii siku, diamond anajikuta diamond kweli ilmradi fujo..... Bora kaachwa awe free sasa cha ajabu utashangaa yupo free hadi K zinakua za manati akiwa na mtu anapata mafuriko ya K.
Nyinyi wanawake mwalimu wenu kipofu na aliyewaroga kafa, hivyo hamuwezi kupona kamwe.Atapata wadangaji tu ambao hata akiwaita kuja kupaka K lazma atume nauli au boda 😀😀😀
Bora liondoke. Lijimama lilikuwa linatubemendea kijana wetu.Hahaaa is it because amekubali kuhudumia mtoto wa Hamisaa?!!na kupatana nae?
Kama nawaona team zari mondi watakavyokufa njaaa
Poleni
Hivi kumbe Mondi alikuwa hajamuoa? Kijana ana akili sana. Nilikuwa namdharau kijana kuoa mama yake. Kama alikuwa anajilia papuchi tu... nampongeza sana Kijana Dayamondi... Kaliwakilisha vizuri taifa letu kwenye fani ya ngonoNyinyi wanawake mwalimu wenu kipofu na aliyewaroga kafa, hivyo hamuwezi kupona kamwe.
Mwanaume anakuzalisha watoto wawili bila ndoa, wewe una pesa na yeye ni millionaire na hakuna ndoa wala hata dalili bado tu hujiongezi kama huyo hana future na wewe? Tena isitoshe vijana wa kiislamu ndoa huwa wanawahi zaidi.
Kuna vijana wanachelewa kuoa kwa sababu za kiuchumi tu, je Diamond ana sababu zipi?
Garbage in garbage out.
Kwa vichekesho vingine kama hivi andika neno bongo bahati mbaya tuma kwenda namba 15523.DAI hajui mdem wengi walikuwa wanamtamani kwa kuwa yupo na Zari,mwanamke mzuri mwenye pesa mwenye class ya juu nje ya hapo madem watamkimbia sasa....
Because of that bitch from Uganda?He destroy himself like a biscuit in water.
Eti watu walitaka diamond amuoe zari khaaaHivi kumbe Mondi alikuwa hajamuoa? Kijana ana akili sana. Nilikuwa namdharau kijana kuoa mama yake. Kama alikuwa anajilia papuchi tu... nampongeza sana Kijana Dayamondi... Kaliwakilisha vizuri taifa letu kwenye fani ya ngono
Mnachosahau nyinyi mspashkuna Zari ni hawara wa Diamond kama mahawara wengine tu, Zari hakuolewa na Diamond ni hawara hata kwenye dini yao ya kiislamu huyu ni mzinzi mwenzake tu.Haya yote yasingetokea kama wangekuwa wanaishi pamoja. Hapa mchawi ni umbali tu
Huwa nawaambia humu Kuwa dai Alikua anajifurahisha tu kuwa na zari, na Ile kupata watoto basi,Kwa vichekesho vingine kama andika neno bongo bahati mbaya tuma kwenda namba 15523.
Zari amempenda Diamond kwa sababu ya Usuper Star na pesa tu na si vinginevyo.
Hicho alichompendea Zari Huyo Diamond ndicho kitaendelea kuwavuta warembo wengine zaidi na zaidi.
Hili ni duwa la kuku Pesa inaongea.
Hahahaa mshaurini Zari asogee hapo kwa Kiba aongeze idadi ya watoto. Kwenye ngono watanzania tuko vizuriEti watu walitaka diamond amuoe zari khaaa
Walikua complicated sijui hata wangeoana wangeishi wapi, sidhani kama yule mwanamke angeacha vitu vyake south aje madale.Nyinyi wanawake mwalimu wenu kipofu na aliyewaroga kafa, hivyo hamuwezi kupona kamwe.
Mwanaume anakuzalisha watoto wawili bila ndoa, wewe una pesa na yeye ni millionaire na hakuna ndoa wala hata dalili bado tu hujiongezi kama huyo hana future na wewe? Tena isitoshe vijana wa kiislamu ndoa huwa wanawahi zaidi.
Kuna vijana wanachelewa kuoa kwa sababu za kiuchumi tu, je Diamond ana sababu zipi?
Garbage in garbage out.
Hii ipo kote kote hata kwa wanawakeUmejuaje mambo ya kiumeni?
Mwanaume anayekupenda hawezi kukuzalisha watoto wawili bila ndoa na pesa anazo.Dai aoe mtanzania bana
Kijanja Sana Alikua Hataki ndoa haha
Ila diamond anampenda wema, hata nyimbo zake tu utagundua, kila wimbo haachi kumuimbaAkimuoa wema atakua Hana akili
Kuzalishwa kwani kabakwa?Mwanaume anayekupenda hawezi kukuzalisha watoto wawili bila ndoa na pesa anazo.
Hii thread ndio utagunduwa jinsi Watanzania wengi walivyo na poor IQ.
Sikuwahi kumkubali huyu dogo ila kwa hili ameona mbali sana kuliko maboya wengi wanaomfagilia yule malaya wa Kiganda.
Acha tusimpangie Kwa kweli, utaona wema atakavyokuwa anachekeleaIla diamond anampenda wema, hata nyimbo zake tu utagundua, kila wimbo haachi kumuimba
Huu msemo huwa unamaana gani?Kigoma hatoki boi