Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Atapata wadangaji tu ambao hata akiwaita kuja kupaka K lazma atume nauli au boda 😀😀😀
Nyinyi wanawake mwalimu wenu kipofu na aliyewaroga kafa, hivyo hamuwezi kupona kamwe.

Mwanaume anakuzalisha watoto wawili bila ndoa, wewe una pesa na yeye ni millionaire na hakuna ndoa wala hata dalili bado tu hujiongezi kama huyo hana future na wewe? Tena isitoshe vijana wa kiislamu ndoa huwa wanawahi zaidi.

Kuna vijana wanachelewa kuoa kwa sababu za kiuchumi tu, je Diamond ana sababu zipi?

Garbage in garbage out.
 
Hahaaa is it because amekubali kuhudumia mtoto wa Hamisaa?!!na kupatana nae?

Kama nawaona team zari mondi watakavyokufa njaaa

Poleni
Bora liondoke. Lijimama lilikuwa linatubemendea kijana wetu.
 
Nyinyi wanawake mwalimu wenu kipofu na aliyewaroga kafa, hivyo hamuwezi kupona kamwe.

Mwanaume anakuzalisha watoto wawili bila ndoa, wewe una pesa na yeye ni millionaire na hakuna ndoa wala hata dalili bado tu hujiongezi kama huyo hana future na wewe? Tena isitoshe vijana wa kiislamu ndoa huwa wanawahi zaidi.

Kuna vijana wanachelewa kuoa kwa sababu za kiuchumi tu, je Diamond ana sababu zipi?

Garbage in garbage out.
Hivi kumbe Mondi alikuwa hajamuoa? Kijana ana akili sana. Nilikuwa namdharau kijana kuoa mama yake. Kama alikuwa anajilia papuchi tu... nampongeza sana Kijana Dayamondi... Kaliwakilisha vizuri taifa letu kwenye fani ya ngono
 
DAI hajui mdem wengi walikuwa wanamtamani kwa kuwa yupo na Zari,mwanamke mzuri mwenye pesa mwenye class ya juu nje ya hapo madem watamkimbia sasa....
Kwa vichekesho vingine kama hivi andika neno bongo bahati mbaya tuma kwenda namba 15523.

Zari amempenda Diamond kwa sababu ya Usuper Star na pesa tu na si vinginevyo.

Hicho alichompendea Zari Huyo Diamond ndicho kitaendelea kuwavuta warembo wengine zaidi na zaidi.

Hili ni duwa la kuku Pesa inaongea.
 
Hivi kumbe Mondi alikuwa hajamuoa? Kijana ana akili sana. Nilikuwa namdharau kijana kuoa mama yake. Kama alikuwa anajilia papuchi tu... nampongeza sana Kijana Dayamondi... Kaliwakilisha vizuri taifa letu kwenye fani ya ngono
Eti watu walitaka diamond amuoe zari khaaa
 
Haya yote yasingetokea kama wangekuwa wanaishi pamoja. Hapa mchawi ni umbali tu
Mnachosahau nyinyi mspashkuna Zari ni hawara wa Diamond kama mahawara wengine tu, Zari hakuolewa na Diamond ni hawara hata kwenye dini yao ya kiislamu huyu ni mzinzi mwenzake tu.
 
Kwa vichekesho vingine kama andika neno bongo bahati mbaya tuma kwenda namba 15523.

Zari amempenda Diamond kwa sababu ya Usuper Star na pesa tu na si vinginevyo.

Hicho alichompendea Zari Huyo Diamond ndicho kitaendelea kuwavuta warembo wengine zaidi na zaidi.

Hili ni duwa la kuku Pesa inaongea.
Huwa nawaambia humu Kuwa dai Alikua anajifurahisha tu kuwa na zari, na Ile kupata watoto basi,
 
Safi sana Zari!
Kuna muda ni bora kuviacha baadhi ya vitu muhimu kwako kama haviwi chanzo cha furaha!

Jamani mwenye namba za Zari anipe nijaribu bahati yangu.
Yupo Singo!
 
Nyinyi wanawake mwalimu wenu kipofu na aliyewaroga kafa, hivyo hamuwezi kupona kamwe.

Mwanaume anakuzalisha watoto wawili bila ndoa, wewe una pesa na yeye ni millionaire na hakuna ndoa wala hata dalili bado tu hujiongezi kama huyo hana future na wewe? Tena isitoshe vijana wa kiislamu ndoa huwa wanawahi zaidi.

Kuna vijana wanachelewa kuoa kwa sababu za kiuchumi tu, je Diamond ana sababu zipi?

Garbage in garbage out.
Walikua complicated sijui hata wangeoana wangeishi wapi, sidhani kama yule mwanamke angeacha vitu vyake south aje madale.
 
Dai aoe mtanzania bana
Kijanja Sana Alikua Hataki ndoa haha
Mwanaume anayekupenda hawezi kukuzalisha watoto wawili bila ndoa na pesa anazo.

Hii thread ndio utagunduwa jinsi Watanzania wengi walivyo na poor IQ.

Sikuwahi kumkubali huyu dogo ila kwa hili ameona mbali sana kuliko maboya wengi wanaomfagilia yule malaya wa Kiganda.
 
Mwanaume anayekupenda hawezi kukuzalisha watoto wawili bila ndoa na pesa anazo.

Hii thread ndio utagunduwa jinsi Watanzania wengi walivyo na poor IQ.

Sikuwahi kumkubali huyu dogo ila kwa hili ameona mbali sana kuliko maboya wengi wanaomfagilia yule malaya wa Kiganda.
Kuzalishwa kwani kabakwa?
Kwahiyo Wanawake sahihi ni wale waliozichomoa mimba??
 
Back
Top Bottom