Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mpo vzr kwny hizi mambo [emoji23][emoji23]Kum unfollow tu ma mkwe picha lilikua ready kabla hata ya mambo ya Mahakama
ndo nafatilia hapa naweza nikaambulia kituNimejaribu ila nimeambulia Chenga tu!
ha ha ha ha na shuhuda kutoka kwa wadau, wazee wa hide my IDUtasikia Da Mange anasema kuwa alikuwa na taarifa hii toka mwaka jana sema hakutaka kusema...Da mange si wa mchezo.....
Nikuulize hivi ni nin kinasababishaga hio hali?,ukiwa na dem k za kumwaga ukishatemana na dem tuu k zinakuwa za kutafuta kwa manati,mm huwa nahisi unapokuwa kwenye mahusiano kuna kiharufu unakuwa nacho hivyo kuwavutia warembo,embu tueleze hivi huwa unafikiri ni nin hasa kinasababisha?...Teh nlikua naisubiri hii siku, diamond anajikuta diamond kweli ilmradi fujo..... Bora kaachwa awe free sasa cha ajabu utashangaa yupo free hadi K zinakua za manati akiwa na mtu anapata mafuriko ya K.
Acha tu, utadhani tunalipwaWatu mpo vzr kwny hizi mambo [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] f.a.l.a wewewema sepetu like your status
Yani hata mie sijui kwakweli, ila ipo hivo ukiwa singo hupati mtu yani hata mtu wa kuchora humpati, ukishakua tu na mtu, watu wanakuja kama siafu.Nikuulize hivi ni nin kinasababishaga hio hali?,ukiwa na dem k za kumwaga ukishatemana na dem tuu k zinakuwa za kutafuta kwa manati,mm huwa nahisi unapokuwa kwenye mahusiano kuna kiharufu unakuwa nacho hivyo kuwavutia warembo,embu tueleze hivi huwa unafikiri ni nin hasa kinasababisha?...
Alimuoa lini?Huyu mwanamke Alikosea sana kuolewa na Yule dogo, dogo bado mshamba wa mademu anahitaji Kula wengi atosheke ndipo aoe!