ndiyo kawaida siku zoteTeh nlikua naisubiri hii siku, diamond anajikuta diamond kweli ilmradi fujo..... Bora kaachwa awe free sasa cha ajabu utashangaa yupo free hadi K zinakua za manati akiwa na mtu anapata mafuriko ya K.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo kawaida siku zoteTeh nlikua naisubiri hii siku, diamond anajikuta diamond kweli ilmradi fujo..... Bora kaachwa awe free sasa cha ajabu utashangaa yupo free hadi K zinakua za manati akiwa na mtu anapata mafuriko ya K.
Wewe ni mbumbumbu, Diamond ana mali ipi South Africa?This is where you loose your brain.
We ni mange fwata upepo, breakdown huyu dogo kaliwa hiyo kamari, aendelee na umaarufu wake mwanamke yule South ataweka kabrasha mezani la matumizi watoto wa2.
Hapo fikiria mawakili wenu wasomi uchwara wakamtetee mahakama za South,
Atakubali kuhudumia,na kuachia malighafi zote alizoacha South km zake.
Maana kuna ushahidi wa kuhudumia mtoto mwingine bongo.
Zari ameatack panapotakiwa, refer kwa Ivan.
Wewe kajambe mbele huko. Alimsaliti mumewe lini? Nani alikwambia alimsaliti mumewe. Uko kwenye internet lakini huwezi kujiongeza utafute habari zenye uhakika.Kwa taarifa yako, Zari na mumewe walishaachana miaka miwili kabla akutane na Diamond. Ivan alikua ana date msichana anaitwa Sharon na Zari alimdate Farook. Ivan was a wife beater. Haya stop commenting rubbish.Na yeye pia si alisaliti mumewe, au mmesahau jamani? Hivyo its the time to pay back what she did
Hahaha we msenge kweli yani....nmecheka kimakuUnaweza kuta kusaga kwny huo uhusiano alikuwa ana own 80%
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni dada yake Idd Amini aliyetaka kuitawala Madale lakini baadhi ya WaTz walifanikiwa kuikomboa madale hivyo Jana usiku alitangaza kuachia ngazi [emoji14]
If you know you know
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ni dada yake Idd Amini aliyetaka kuitawala Madale lakini baadhi ya WaTz walifanikiwa kuikomboa madale hivyo Jana usiku alitangaza kuachia ngazi [emoji14]
If you know you know
Hahahh et Nduli Zari hassanhapa wadada wa TZ wanajiona kama wameshinda vita vya kagera kwa mara ya pili kwa kumtokomeza nduli Zari
Sawa mama , ila kuna nyumba na Hammer tulionyeshwa hapa.Wewe ni mbumbumbu, Diamond ana mali ipi South Africa?
Hujielewi.
Zari ahamie Kwa Kila azaepo watoto wawili tena[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Makes alotta sense buddah, ndivyo system ilivyo hata mtaani ukiwa na demu kisu mademu average wengi wanakushobokea mbaya unachapa tu.DAI hajui mdem wengi walikuwa wanamtamani kwa kuwa yupo na Zari,mwanamke mzuri mwenye pesa mwenye class ya juu nje ya hapo madem watamkimbia sasa....
Si lina kile kila mwanamke anataka, Money + FameHata mm ninefurahi sana, limwanaume halitulii khaaaa
Zari kashapoteza 100% pale atajifanya analipa aombe Mungu ampate mjane walisongeshe unless akae mbali na mitandao au aitumie kufanya mambo ya maana watoto watano ni wengi mnoo haswaa kwa maisha anayotaka ayaishi yeyee!Zari ahamie Kwa Kila azaepo watoto wawili tena
Ahhha hhaah haahHahaha we ****** kweli yani....nmecheka kimaku
Angetulia na marehemu?